Kukosekana kwa Araujo kwenye defense yetu ni pigo kubwa kwenye mechi muhimu kama hii. Itakua nafuu kidogo kama wataanza Pique na Garcia angalau kidogo wanafahamiana. Kuwategemea wageni akina Alonso na Christiansen pekee inakua too risky!
Ushindi wetu uko mbele pale. Front line yetu inatakiwa kua makini sana na kutumia vyema nafasi zote zitakazopatikana. They need to compensate what we lack in our defense.
Visca Barca!