Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 4,226
- 7,820
DahEndelea kujiongopea. Umekaa hapo Tandahimba alafu unadhani unavijua vitabu vya Barca kumzidi Laporta.
Tutauza wachezaji sababu tunacho kikosi kipana sana. Na sio kwa hizo sababu nyingine. Namba tisa peke yake wapo Lewandoski, Auba, Luuk de Jonng, Braithwaite na Depay. Kwanini tusiuze?


