FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kwahiyo Maradona kupita Barcelona kuna uhusiano gani na Comment yangu?

Nadhani ulikuwa bado hujazaliwa mwaka 1994 Barcelona ikiwa na Maradona wako ilikula Migoli 4 mizito kutoka kwa AC Milan kwenye Fainali ya UCL.

Ndiyo Fainali mbovu kuwahi kutokea.
Umeona sasa unavyojichanganya

Sasa timu ndogo iliweza vipi kufika Final ya UEFA .

Na nimekutajia mfano wa Maradona ili kukuonyesha kuwa Barcelona ni miamba ya soka barani Ulaya toka kitambo sio wewe kujua kwako mpira 2007 ndio useme imeanza kuvuma 2007
 
makombe yapi? labda mic mouse cup kama copa del rey, la liga mko nyuma ya Madrid, uefa hamjaifikia Milan, bayern ,liver, kifupi ni timu iliibuka 2006 ghafla baada ya kubahatika kuwa na vipaji ,sasa inarudi ilipotoka before 2006
Naomba uweke hapa takwimu za kombe lenye heshima Kubwa Hispania a.k.a Kombe la Mfalme ama waweza liita Copa Del Rey kama ulivyolitamka

Sasa weka takwimu kati ya Real Madrid na Barcelona aliyetwaa mara nyingi ni nani halafu ukimalza kuweka ukakojoe ulale
 
Una matatzo wewe

Sema kabla ya 2004 ulikuwa bado unanyonya huko

Hivi unafahamu hata Maradona amekiwasha sana Barcelona au unaongea tu
Barca ndio club iliyotoa wachezaji wengi wa balon'dor
Romario - 1
Ronaldo de Lima - 1
Rivaldo - 1
Ronaldinho - 2
Messi - 6
 
Naomba uweke hapa takwimu za kombe lenye heshima Kubwa Hispania a.k.a Kombe la Mfalme ama waweza liita Copa Del Rey kama ulivyolitamka

Sasa weka takwimu kati ya Real Madrid na Barcelona aliyetwaa mara nyingi ni nani halafu ukimalza kuweka ukakojoe ulale
hata England kombe lenye heshima ni FA ila lenye maana ni la ligi, ndio kama hilo la mfalme huko, huwezisema eti kuchukua kombe la mfalme ni mafanikio kuliko La liga
 
Naomba uweke hapa takwimu za kombe lenye heshima Kubwa Hispania a.k.a Kombe la Mfalme ama waweza liita Copa Del Rey kama ulivyolitamka

Sasa weka takwimu kati ya Real Madrid na Barcelona aliyetwaa mara nyingi ni nani halafu ukimalza kuweka ukakojoe ulale
Nimefatilia comments zako zoote unaandika UHARO!!
 
hata England kombe lenye heshima ni FA ila lenye maana ni la ligi, ndio kama hilo la mfalme huko, huwezisema eti kuchukua kombe la mfalme ni mafanikio kuliko La liga
Ni mafanikio ndio ndio maana likaitwa Kombe lenye heshima

Sasa lingekuwa si la mafanikio si wangeliondoa
 
Dr Who,

Hamna cha week end au nini , mambo ya michezo iende kwenye sehemu za michezo. Wenzetu wengi wa JF uzalendo uliwashinda na mmeamua kuishi uamishoni (ambako hampigi kura wala hamna fursa hata ya kugombea ubalozo wa nyumba kumi mnasubiri congress iwaokoe) kwa hiyo kwenu kweli kuna week end, sisi tulio amua kufia humu na kuendelea kula sahani moja na mafisadi week end ndiyo siku mbaya kweli maana tunakaa nyumbani nakuona nyumba za mafisadi zikiota kama uyoga wakati wewe uliyeamua kumheshimu mungu na wanadamu wenzio huna hata shilingi mia.

Mpira hata mimi napenda sana lakini haunifanyi niende cafe zaa hizi nianze kujadili kuhusu Arsenal au liverfool. lakini mafisadi wamenifanya nitoe book yangu ingawa nina book mbili tu ili niweze kuwajadili mafisadi ili watuachie na sisi tuanze kuwa na week end

Hoja kama hizi zinanifanye niukubari ushauri wa rafiki yangu anayedai kuwa JF ni ya makuwadi wa mtandao ambao lengo lao kubwa ni kutaka kujua kama wananchi wanaufahamu gani kuhusu madeal yao ili waweze kuyaficha vizuri.

ukiangalia kwenye JF kuna issue nyingi sana ambazo kwa kweli zinatisha lakini watu hawachangii kabisa lakini hii ya Arsenal iliyopostiwa katika sehemu isiyo yake watu wameshaweza kuchangia kibao, sasa sisi tueleweje?

Wana JF tunakuwa kama wabunge wa ccm tunaona issue tunazikimbia na kukimbilia kudai oooh tupewe mafungu ya mjimbo ili na sisi tukawatende wanavijiji wetu

Naomba wanaJF nipate maelezo ya kutosha ya kunifanya niendelee kutoa 0.01% ya mshahara wangu kwenda cafe kujadiliana na wapenda maendeleo wenzangu kwa saa moja na siyo mjadara wa Arsenal Please!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kufuatilia Mambo ya siasa Ni kutafuta kujiumiza tu akili na kuuchukia uTanzania wangu, Wacha niishi tu nakuyafurahia yanayonipa furaha lakini sio siasa. Bora niumie sababu Barcelona imefungwa kuliko kujua Kuna fisadi ameiba pesa za walipakodi na hajawajibishwa kwa namna yoyote.
 
Tumedraw na Sevilla jana. For the first time this season, jana tumemzidia mtu tena mbabe. Dembele anafanya kazi nzuri sana. Abde, Gavi na Araujo pia wamekamua sana.

In short, we are on the right track. Itachukua muda kurudi kwenye ubora wetu, but we'll be there!
Unajifariji tu. Huo muda ni muda gani. Hivi bado mna ndoto ile Barca ya akina Xavi, Iniesta, Messi and the like itarudi? Sahau sana hilo. Na msimu huu hata nafasi ya Champions league itakuwa ngumu sana labda Europa.
 
Screenshot_20211230-125013.jpg
 
Unajifariji tu. Huo muda ni muda gani. Hivi bado mna ndoto ile Barca ya akina Xavi, Iniesta, Messi and the like itarudi? Sahau sana hilo. Na msimu huu hata nafasi ya Champions league itakuwa ngumu sana labda Europa.
Mbona ukiachana na real Madrid bado point 5 kukaa top 4 maana aliyeshika nafas ya tatu akipoteza mech 2 hasira za nini sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom