PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,107
- 14,352
Umeona sasa unavyojichanganyaKwahiyo Maradona kupita Barcelona kuna uhusiano gani na Comment yangu?
Nadhani ulikuwa bado hujazaliwa mwaka 1994 Barcelona ikiwa na Maradona wako ilikula Migoli 4 mizito kutoka kwa AC Milan kwenye Fainali ya UCL.
Ndiyo Fainali mbovu kuwahi kutokea.
Sasa timu ndogo iliweza vipi kufika Final ya UEFA .
Na nimekutajia mfano wa Maradona ili kukuonyesha kuwa Barcelona ni miamba ya soka barani Ulaya toka kitambo sio wewe kujua kwako mpira 2007 ndio useme imeanza kuvuma 2007