TumekufaWatani mpo?
Kwaiyo huu msiba tunazika au tunasafirisha?Tumekufa

Tupo tunaangalia mali na madeni ya marehemu kwanza.Kwaiyo huu msiba tunazika au tunasafirisha?![]()


huu uzi nowadays umetelekezwa sanaTupo bize na korona ..huu uzi nowadays umetelekezwa sana



TuliaNyie wahuni jana mmeshinda mbona hamuji humu kutamba
Watambe wakati Atletico Madrid anawatimulia vumbi tuNyie wahuni jana mmeshinda mbona hamuji humu kutamba