Tikitaka sio suluhisho la matatizo ya barca kwa sasa. Tatizo la barca ni frontline butu na midfield isiyotengeneza nafasi za kutosha.
Kuna maana gani kua na position ya 81% kipindi chote cha kwanza bila kupata goli? Unaenjoy vipi hizi pasi kama upatikanaji wa magoli sio wa uhakika?
Once upon a time, we had xavi and iniesta. Hakika tulienjoy tikitaka sababu waliweza kuhold mpira, kupenya defence ngumu za wapinzani na kutengeneza nafasi za magoli kwa pasi za mwisho zilizokua world class.
Haikua ajabu kushinda goli sita mpaka nane wakati mwingine. Hapa tikitaka ilikua tamu haswa. Sababu tulikua na uhakika wa kupata goli muda wowote.
Mambo yamebadilika wakuu. Viungo tulionao hawafiki hata nusu ya uwezo wa xavi na iniesta. Nafasi zinatengenezwa chache, na uwezo wa ku unlock defence za wapinzani uko chini sana. Tunabaki kutegemea miujiza ya messi tu.
Kama mnakumbuka wakati MSN wanaitawala dunia, kulikua na mabadiliko ya namna tulivyocheza. Tulipiga pasi za harakaharaka na kushambulia kwa spidi from every angle. Tukaiteka dunia.
Nadhani kwa aina ya wachezaji tulionao, ndio mfumo unaotufaa zaidi. Kumuweka griezman apige tikitaka ni kama kumfundisha bata ustaarabu. Ni ngumu sana.
Kwa midfield ya akina rakitic, unaweza kupiga pasi buku jero ambazo hazina madhara kabisa kwa timu pinzani.
Ni either tupate watu sahihi watakao itendea haki tikitaka, au tukubali akina griezman wakimbie na mpira. Tofauti na hapo, tutapiga pasi kama dobi na bado ushindi tutaupata kwa mbinde.
Watu wanapaki, wanakupiga kimoja then wanakuacha upige pasi zako zisizo na madhara. We are better than that.
Nisiwachoshe wakuu, kilichonipoteza humu ni ile trauma ya anfield. Football isn't the same nowadays, imekua ngumu sana kusahau ile kitu.
Adios!
Hii ndio kwanza mechi ya kwanza tumpe muda kocha de jong jana hakuwepo arthur katoka majeruhi puiq ndio hivyo anaanza kuingizwa kidogo kidogoTikitaka sio suluhisho la matatizo ya barca kwa sasa. Tatizo la barca ni frontline butu na midfield isiyotengeneza nafasi za kutosha.
Kuna maana gani kua na position ya 81% kipindi chote cha kwanza bila kupata goli? Unaenjoy vipi hizi pasi kama upatikanaji wa magoli sio wa uhakika?
Once upon a time, we had xavi and iniesta. Hakika tulienjoy tikitaka sababu waliweza kuhold mpira, kupenya defence ngumu za wapinzani na kutengeneza nafasi za magoli kwa pasi za mwisho zilizokua world class.
Haikua ajabu kushinda goli sita mpaka nane wakati mwingine. Hapa tikitaka ilikua tamu haswa. Sababu tulikua na uhakika wa kupata goli muda wowote.
Mambo yamebadilika wakuu. Viungo tulionao hawafiki hata nusu ya uwezo wa xavi na iniesta. Nafasi zinatengenezwa chache, na uwezo wa ku unlock defence za wapinzani uko chini sana. Tunabaki kutegemea miujiza ya messi tu.
Kama mnakumbuka wakati MSN wanaitawala dunia, kulikua na mabadiliko ya namna tulivyocheza. Tulipiga pasi za harakaharaka na kushambulia kwa spidi from every angle. Tukaiteka dunia.
Nadhani kwa aina ya wachezaji tulionao, ndio mfumo unaotufaa zaidi. Kumuweka griezman apige tikitaka ni kama kumfundisha bata ustaarabu. Ni ngumu sana.
Kwa midfield ya akina rakitic, unaweza kupiga pasi buku jero ambazo hazina madhara kabisa kwa timu pinzani.
Ni either tupate watu sahihi watakao itendea haki tikitaka, au tukubali akina griezman wakimbie na mpira. Tofauti na hapo, tutapiga pasi kama dobi na bado ushindi tutaupata kwa mbinde.
Watu wanapaki, wanakupiga kimoja then wanakuacha upige pasi zako zisizo na madhara. We are better than that.
Nisiwachoshe wakuu, kilichonipoteza humu ni ile trauma ya anfield. Football isn't the same nowadays, imekua ngumu sana kusahau ile kitu.
Adios!
Tikitaka sio suluhisho la matatizo ya barca kwa sasa. Tatizo la barca ni frontline butu na midfield isiyotengeneza nafasi za kutosha.
Kuna maana gani kua na position ya 81% kipindi chote cha kwanza bila kupata goli? Unaenjoy vipi hizi pasi kama upatikanaji wa magoli sio wa uhakika?
Once upon a time, we had xavi and iniesta. Hakika tulienjoy tikitaka sababu waliweza kuhold mpira, kupenya defence ngumu za wapinzani na kutengeneza nafasi za magoli kwa pasi za mwisho zilizokua world class.
Haikua ajabu kushinda goli sita mpaka nane wakati mwingine. Hapa tikitaka ilikua tamu haswa. Sababu tulikua na uhakika wa kupata goli muda wowote.
Mambo yamebadilika wakuu. Viungo tulionao hawafiki hata nusu ya uwezo wa xavi na iniesta. Nafasi zinatengenezwa chache, na uwezo wa ku unlock defence za wapinzani uko chini sana. Tunabaki kutegemea miujiza ya messi tu.
Kama mnakumbuka wakati MSN wanaitawala dunia, kulikua na mabadiliko ya namna tulivyocheza. Tulipiga pasi za harakaharaka na kushambulia kwa spidi from every angle. Tukaiteka dunia.
Nadhani kwa aina ya wachezaji tulionao, ndio mfumo unaotufaa zaidi. Kumuweka griezman apige tikitaka ni kama kumfundisha bata ustaarabu. Ni ngumu sana.
Kwa midfield ya akina rakitic, unaweza kupiga pasi buku jero ambazo hazina madhara kabisa kwa timu pinzani.
Ni either tupate watu sahihi watakao itendea haki tikitaka, au tukubali akina griezman wakimbie na mpira. Tofauti na hapo, tutapiga pasi kama dobi na bado ushindi tutaupata kwa mbinde.
Watu wanapaki, wanakupiga kimoja then wanakuacha upige pasi zako zisizo na madhara. We are better than that.
Nisiwachoshe wakuu, kilichonipoteza humu ni ile trauma ya anfield. Football isn't the same nowadays, imekua ngumu sana kusahau ile kitu.
Adios!
Hii ndio kwanza mechi ya kwanza tumpe muda kocha de jong jana hakuwepo arthur katoka majeruhi puiq ndio hivyo anaanza kuingizwa kidogo kidogo
Atakaporudi dembele na tukimpata finisher mmoja kariba ya suarez mbona setien mtampenda
Halafu siyo kila game mtacheza vilevile na kupata matokeo yaleyale hata Pep mwenyewe alianzaga na kipigo maisha yake na barca kuna games pia hao akina xavi na iniesta walionekana wanacheza boring football walivyokutana na wapaki bus wanaishia kupiga pass tu bila magoli kuna game moja ya uefa kuna kitimu kinaitwa rubin kazan cha urusi waliweka ukuta balaa mwisho wa siku wakatupiga
Tumpe nafasi setien aitengeneze timu pasi zitapigwa na magoli yatapatikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah.. icho ndio kitu kila barca fan anawaza..
Kuna raia hawapendi kuona tunataka kurudi kwenye system yetu..'sexy football'
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] Yan mtu kocha wa juzi.. Ww uanze na lawama.. Mbn watu amna jema.. Tulien team itengenezwe acheni maneno ya porojo.. Sbr had msimu ujao apate na yy pre season yake afanye usajili wake vzr ndo muanze leta ss Criticism sio mtu kapewa team hlf watu wanasema eti pass nyng Mara Sijui nnHii ndio kwanza mechi ya kwanza tumpe muda kocha de jong jana hakuwepo arthur katoka majeruhi puiq ndio hivyo anaanza kuingizwa kidogo kidogo
Atakaporudi dembele na tukimpata finisher mmoja kariba ya suarez mbona setien mtampenda
Halafu siyo kila game mtacheza vilevile na kupata matokeo yaleyale hata Pep mwenyewe alianzaga na kipigo maisha yake na barca kuna games pia hao akina xavi na iniesta walionekana wanacheza boring football walivyokutana na wapaki bus wanaishia kupiga pass tu bila magoli kuna game moja ya uefa kuna kitimu kinaitwa rubin kazan cha urusi waliweka ukuta balaa mwisho wa siku wakatupiga
Tumpe nafasi setien aitengeneze timu pasi zitapigwa na magoli yatapatikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Y no mercy?
Y no mercy?
Naskia coach kaulzwa kuhusu messi kasema anything can happen bado hawajadecideMercy??
Kama unamaanisha messi ni rotation hiyo wakubwa wamepumzishwa.
Ni kuwaonea kumuweka messi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naskia coach kaulzwa kuhusu messi kasema anything can happen bado hawajadecide
Tatizo kubwa kwa wana Barca,ni ku write off wachezaji-Busquets,Suarez,Pique washakuwa written off-leo wengi wetu humu mnashindwa ku eat humble pie. Tushinde au tusishinde signature ya BARCA-tikitaka haina debate so long as we are entertainedMessi hachezi mechi hiyo hii ni cup wacha afanye experiment na madogo wengine..
Naona kampanga rakitic...
Hana tena minutes kwenye ligi huyu bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kubwa kwa wana Barca,ni ku write off wachezaji-Busquets,Suarez,Pique washakuwa written off-leo wengi wetu humu mnashindwa ku eat humble pie. Tushinde au tusishinde signature ya BARCA-tikitaka haina debate so long as we are entertained
Barca Bana a goal behind bado mpira wanapasiana nyuma
Barca Bana a goal behind bado mpira wanapasiana nyuma
barça toka avuliwe nguo na liver hali imekua mbaya kweli[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app