Kaka umenena vyema, mimi kuna watu nashangaa kuanza Barca. Yaani pale anzisha Semedo, Alba, tia umtiti walau na huyu Lenglet ili apate uzoefu zaidi.Tatzo syo wachezaji tatzo ni kocha unamsajili mchezaji nafasi ya kiungo wewe unakuja kumchezesha wings ndo msimu juzi tulishinda nyumbani goal 3 kwa1 dhidi ya Roma tukaenda Roma tukafungwa 3kwa0 tukatolewa msimu Jana tumeshinda nyumbani goal 3kwa0 dhid ya Liverpool tukaenda anfield kupigwa goals be 4 kwa 0 ko huu ni muendelezo mbovu be wa valvede una viungo Kama busquet,de jong,auther ,raktic, Vidal ukimuacha Roberto ambae leo ni full kesho utampanga kiungo unashindwa kupanga kikosi imara unakuja forward unao watu Kama messi,Suarez,dembele,grizman, coutinho, Perez, Malcolm Na wengneo unashindwa kuweka watu wa kuforce matokeo mfano Suarez syo amalize dakika 90 haya kwenye kiungo busquet syo lazma amalize dakika 90 kwa kuwa umri umeenda haya Roberto syo lazma aanze kwa kuwa una viungo wengi Yule asubiri anapotoka semedo yeye anaingia kwa ajiri ya kusaka matokeo coz anapanda Sana haya kwenye beki Una pique, Clement,umtiti,semedo, Alba syo lazma pique amalize dakika 90 au mechi zingne asianze kabsa aanze umtiti
Shakira ndio bure kabisa...ni kutufungisha tu dailyTatzo syo wachezaji tatzo ni kocha unamsajili mchezaji nafasi ya kiungo wewe unakuja kumchezesha wings ndo msimu juzi tulishinda nyumbani goal 3 kwa1 dhidi ya Roma tukaenda Roma tukafungwa 3kwa0 tukatolewa msimu Jana tumeshinda nyumbani goal 3kwa0 dhid ya Liverpool tukaenda anfield kupigwa goals be 4 kwa 0 ko huu ni muendelezo mbovu be wa valvede una viungo Kama busquet,de jong,auther ,raktic, Vidal ukimuacha Roberto ambae leo ni full kesho utampanga kiungo unashindwa kupanga kikosi imara unakuja forward unao watu Kama messi,Suarez,dembele,grizman, coutinho, Perez, Malcolm Na wengneo unashindwa kuweka watu wa kuforce matokeo mfano Suarez syo amalize dakika 90 haya kwenye kiungo busquet syo lazma amalize dakika 90 kwa kuwa umri umeenda haya Roberto syo lazma aanze kwa kuwa una viungo wengi Yule asubiri anapotoka semedo yeye anaingia kwa ajiri ya kusaka matokeo coz anapanda Sana haya kwenye beki Una pique, Clement,umtiti,semedo, Alba syo lazma pique amalize dakika 90 au mechi zingne asianze kabsa aanze umtiti
Hivi ana miaka mingapi yule jamaa, mbona akina Umtiti wapo, unajua isingekuwa Vermalen majeruhi jamaa angekuwa mpiga kazi kuliko Pique.Shakira ndio bure kabisa...ni kutufungisha tu daily
Kaka ni kwamba kile kikosi kilivyo vile vile bila kuongeza au kutoa mchezaji hata mmoja ukimpa kocha kama pep au Mourinho tu lazma achukue uefa tukumbuke mwaka anakuja marsherano anatoka anfield alikuwa namba sita anatua nou camp anakutana na watu Kama busquet,xavi na inester ila pep alimbadilisha na akacheza beki nne akafiti yeye ameshindwa amuache Kila mchezaji acheze kwenye nafasi yake coutinho mpira alikuwa akiucheza anfield hatuoni kocha gani mchezaji akipata majeraha tu yeye anampiga SubKaka umenena vyema, mimi kuna watu nashangaa kuanza Barca. Yaani pale anzisha Semedo, Alba, tia umtiti walau na huyu Lenglet ili apate uzoefu zaidi.
Toa Bisquets, weka De Jong, weka Arthur na Rakitic kati, mbele pale ndo shuhuli sasa, Suarez huwa hatabirikagi huyu mnyama ila ni fighter haswa, anaweza kuforce matokeo labda tu itokee asipate chances za kutosha.
Yaleyale ya Coutinho na dembele kuchezeshw wrong positionLegendary wa ajax,barca na timu ya taifa ya uholanzi Der Boer amesema Frenkkie de Jong anachezeshwa wrong position,,barca anapangwa pembeni mno...anadai kuwa ili aonyeshe hasa uwezo wake ni vema akasogezwa kati ama awe holding midifielder ..yaani acheze positioni ya sergio busqet..wana barca tutafurai ...kwa sasa anasema hachezeshwi sehemu mahsusi kwake Kama alivyocheza katika hizi mechi chache alizoshiriki....amemshangaa kocha Ververde kwa kutoliona hili
Der boer kwa sasa ni kocha wa timu ya vijana ya taifa uholanzi
Mimi ndo uwa nawaambia watu kikosi kile kiache vile vile ukimpa kocha mwny akil timamu kama Pep or Klopp Nasemaje uefa inarudi.. Valverde ndg zng hana tactics yan ni kama uwa anaweka tu wachezaj uwanjan kua katafuteni matokeoKaka ni kwamba kile kikosi kilivyo vile vile bila kuongeza au kutoa mchezaji hata mmoja ukimpa kocha kama pep au Mourinho tu lazma achukue uefa tukumbuke mwaka anakuja marsherano anatoka anfield alikuwa namba sita anatua nou camp anakutana na watu Kama busquet,xavi na inester ila pep alimbadilisha na akacheza beki nne akafiti yeye ameshindwa amuache Kila mchezaji acheze kwenye nafasi yake coutinho mpira alikuwa akiucheza anfield hatuoni kocha gani mchezaji akipata majeraha tu yeye anampiga Sub
Mimi sielewi had saiv kwnn Rais wa Club anamkumbatia huyu mjinga bora tungefng hata mpango tupate kocha wa Ajax huyu mzee hii team ni kubwa sna kwake ndo maana hata kupanga inamshindaYaleyale ya Coutinho na dembele kuchezeshw wrong position
valverde mzinguaji sana
Sasa Mkuu mbape si anacheza kulia? Inawezekana vipi achukue namba ya Messi, namna pekee ya kumtafuta mrithi wa Messi, ni Messi kuondoka kwanza Barca.Tetesi zinasema barcelona wapo katika wazo jipya la kutaka kufanya uamuzi wa kusajiri Neymar ama Kylian Mbappe kwa hapo baadae,hii ni baada ya kuchambua na kutafakari fitness ya Neymar...haishi injuries...now and then...pia wameangalia na umri wa mbappe nao unashawishi wao kumtamani pale nou camp
Sababu ingine wanataka awepo mtu wa kumtegemea hatamessi akiwa out
Achana na Pep na Klopp, hata Luis Enrique angeweza kutufikisha mbali, sijui walitazama nini kumpa timu Valverde. Hakuna kitu kabisa huyu jamaa.Mimi ndo uwa nawaambia watu kikosi kile kiache vile vile ukimpa kocha mwny akil timamu kama Pep or Klopp Nasemaje uefa inarudi.. Valverde ndg zng hana tactics yan ni kama uwa anaweka tu wachezaj uwanjan kua katafuteni matokeo
Kabisaaa, tupate kocha kijana anayeendana na hali ya ushindani wa soka la sasa.Mimi sielewi had saiv kwnn Rais wa Club anamkumbatia huyu mjinga bora tungefng hata mpango tupate kocha wa Ajax huyu mzee hii team ni kubwa sna kwake ndo maana hata kupanga inamshinda
Sasa Mkuu mbape si anacheza kulia? Inawezekana vipi achukue namba ya Messi, namna pekee ya kumtafuta mrithi wa Messi, ni Messi kuondoka kwanza Barca.
Unajua mm cjawah kumuelewa hasa mechi za uefa anaweza akaona tatzo au Hadi sisi ambao tunaangalia kwenye luninga tunaona kabsa kwamba hili ni tatzo kabsa lkn yeye anajifanya halion anakuja kuliona baada ya kufungwa ndo Sasa anamtoa mtu be Na kumuingiza wewe angalia mechi Na Roma second leg pia angalia mechi Na Liverpool second leg pia mm Barcelona Ana miaka sita hajafungwa pale nou camp uefa hawezi kusema Ni kwa sababu zake ni wachezaji Na hamasa kutoka kwa mashabiki kocha gani hawezi kushinda ugenini na timu kubwa kuanzia juve,Roma, Na Liverpool yaan zamani hatuna timu iliyokuwa inaomba kukutana na Barcelona lkn Sasa watasema Barcelona shinda goal100 sisi tunakuja kushinda Na sisi 101 kwetuMimi ndo uwa nawaambia watu kikosi kile kiache vile vile ukimpa kocha mwny akil timamu kama Pep or Klopp Nasemaje uefa inarudi.. Valverde ndg zng hana tactics yan ni kama uwa anaweka tu wachezaj uwanjan kua katafuteni matokeo
haumuamini au?Mimi leo namtazama Greizman-he has to justify kuwepo kwake Barca fc