SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,904
Neymar ataendelea kuchezea PSG wakati fans wa timu wanajua fika kajitolea mpaka hela yake mwenyewe hili aondoke timu.Hii dilemma ya PSG haijawahi tokea katika football annals-well,well.well yajayo yanafurahisha-i can not wait to see him ktk PSG colours
Uwezo upo, -€104m Barça kipato chake ni zaidi ya €650m kwa mwakaBarca transfer inasima -104€m,sasa ukijumuisha na io sijui itakuwaje
Neymar alifikiri kiburi ni zaidi ya pesa.. anataka kujinunua.
Aandae masikio na macho atazomewa mpaka atoe machozi.
Atulie acheze soka.. alitaka mwenyewe kwenda PSG sasa achezeHajui kama hela aliyonaye yeye ni Neymar ni Hela ya kununulia Toilet paper tu kwa yule Muarabu wa PSG
Mwacheni mwanetu wenyewe inshallah dirisha lijaloAtulie acheze soka.. alitaka mwenyewe kwenda PSG sasa acheze
Hawezi toka yule
Busquets toka zamani ni source ya mipira ya Barca katika position hiyo hiyo sasa hawa wanavotaka De Jong awekwe Holding Midfield position ambayo Busquets yupo yaani Barca iondoe mfumo wake kwa ajili ya huyu dogo tu?Legendary wa ajax,barca na timu ya taifa ya uholanzi Der Boer amesema Frenkkie de Jong anachezeshwa wrong position,,barca anapangwa pembeni mno...anadai kuwa ili aonyeshe hasa uwezo wake ni vema akasogezwa kati ama awe holding midifielder ..yaani acheze positioni ya sergio busqet..wana barca tutafurai ...kwa sasa anasema hachezeshwi sehemu mahsusi kwake Kama alivyocheza katika hizi mechi chache alizoshiriki....amemshangaa kocha Ververde kwa kutoliona hili
Der boer kwa sasa ni kocha wa timu ya vijana ya taifa uholanzi
Kuna mambo binafsi nayaona, Valverde hana ile mipango ya timu kutafuta goli haswa, ni uwezo wa wachezaji tu ndio unaotubeba.Legendary wa ajax,barca na timu ya taifa ya uholanzi Der Boer amesema Frenkkie de Jong anachezeshwa wrong position,,barca anapangwa pembeni mno...anadai kuwa ili aonyeshe hasa uwezo wake ni vema akasogezwa kati ama awe holding midifielder ..yaani acheze positioni ya sergio busqet..wana barca tutafurai ...kwa sasa anasema hachezeshwi sehemu mahsusi kwake Kama alivyocheza katika hizi mechi chache alizoshiriki....amemshangaa kocha Ververde kwa kutoliona hili
Der boer kwa sasa ni kocha wa timu ya vijana ya taifa uholanzi
Nadhani mwalimu huyu wa uholanzi anamfahamu vizuri zaidi kwa maana huenda pia amemfundisha...wacha tuangalie game zijazo.Busquets toka zamani ni source ya mipira ya Barca katika position hiyo hiyo sasa hawa wanavotaka De Jong awekwe Holding Midfield position ambayo Busquets yupo yaani Barca iondoe mfumo wake kwa ajili ya huyu dogo tu?
Mbona Ajax alikuwa katika nafasi hiyo hiyo ambayo Valverde anamweka? Au nimesahau
Kulazimisha nafasi ni kubaya yasije kujirudia ya Phillipe CourtinhoKuna mambo binafsi nayaona, Valverde hana ile mipango ya timu kutafuta goli haswa, ni uwezo wa wachezaji tu ndio unaotubeba.
Kama timu inamchezesha mtu nafasi asiyoifurahia, kwanini tumchezeshe? Busquets umri unazidi kusonga mbele, hakuna cha maana sana zaidi ya kukaa na mipira na kupaka rangi, ni kama Pique tu, sijui ni utaifa ndo unawabeba paleee.
Alba bado anapiga kazi vizuri saaana, toa Busquets, toa Pique, kuna msimu Umtiti alikuwa anapiga kazi vizuri, akapata majeruhi, tangu alipopona hakupewa nafasi mara kwa mara, naamini hata yeye hana furaha kwa timu.
Mwisho kabisa tutoe mpaka huyu kocha.
Busquets ni engine nyingne pale kati hakuna wakuikama dunia hiiKuna mambo binafsi nayaona, Valverde hana ile mipango ya timu kutafuta goli haswa, ni uwezo wa wachezaji tu ndio unaotubeba.
Kama timu inamchezesha mtu nafasi asiyoifurahia, kwanini tumchezeshe? Busquets umri unazidi kusonga mbele, hakuna cha maana sana zaidi ya kukaa na mipira na kupaka rangi, ni kama Pique tu, sijui ni utaifa ndo unawabeba paleee.
Alba bado anapiga kazi vizuri saaana, toa Busquets, toa Pique, kuna msimu Umtiti alikuwa anapiga kazi vizuri, akapata majeruhi, tangu alipopona hakupewa nafasi mara kwa mara, naamini hata yeye hana furaha kwa timu.
Mwisho kabisa tutoe mpaka huyu kocha.
Yapi hayo ya Filipe coutinhoKulazimisha nafasi ni kubaya yasije kujirudia ya Phillipe Courtinho
Mimi namshangaa sna Rais wa Club(Bartmeou) Valverde alikua anatkiwa apate replacement tang msimu ule ulipoisha lkn Rais amekua akiendelea kumkumbatia kwa kila namna wkt anaona kbs Tactics zake haziendani na sisi.. Ww team iko full of talents lkn cha ajab team haichezi mpr inavotakiwa.. Ebu Imagine angekua Pep au Klopp na kikosi chote hicho kwl
Tatzo syo wachezaji tatzo ni kocha unamsajili mchezaji nafasi ya kiungo wewe unakuja kumchezesha wings ndo msimu juzi tulishinda nyumbani goal 3 kwa1 dhidi ya Roma tukaenda Roma tukafungwa 3kwa0 tukatolewa msimu Jana tumeshinda nyumbani goal 3kwa0 dhid ya Liverpool tukaenda anfield kupigwa goals be 4 kwa 0 ko huu ni muendelezo mbovu be wa valvede una viungo Kama busquet,de jong,auther ,raktic, Vidal ukimuacha Roberto ambae leo ni full kesho utampanga kiungo unashindwa kupanga kikosi imara unakuja forward unao watu Kama messi,Suarez,dembele,grizman, coutinho, Perez, Malcolm Na wengneo unashindwa kuweka watu wa kuforce matokeo mfano Suarez syo amalize dakika 90 haya kwenye kiungo busquet syo lazma amalize dakika 90 kwa kuwa umri umeenda haya Roberto syo lazma aanze kwa kuwa una viungo wengi Yule asubiri anapotoka semedo yeye anaingia kwa ajiri ya kusaka matokeo coz anapanda Sana haya kwenye beki Una pique, Clement,umtiti,semedo, Alba syo lazma pique amalize dakika 90 au mechi zingne asianze kabsa aanze umtitiTimu beki una Umtiti, Semedo, Alba, Pique. Unafungwaje na hii timu? Viungo una Sergio, De Jong, Arthur, Sergio Roberto na Busquets. Mbele una Griezmann, Perez n.k
Hatukupaswa kutoa droo hii game, Valverde ana kikosi bora mno. Kwa timu hiihii iliyocheza na Osasuna ni bora kuliko hata Madrid kwa kuchambua mchezaji mmoja mmoja.
Ukipata kocha anayejua kupanga wachezaji ktk majukumu yao kama Klopp hawezi kutoa sare na hawa Osasuna.
Unajua Kuna vitu viwili hapa watu huwa tunashindwa kuvitofautisha vvd Best of UEFA halafu ukija kwenye FIFA best man of year Ali maarufu Kama ballon d'or inaangalia vitu vingi mfano Liverpool imechukua uefa imemaliza be nafasi ya pili nyuma ya Manchester city Netherland chin ya vvd imetolewa kikombe na Portugal chini ya Ronaldo haya Barcelona imechukua laliga chini ya messi akiwa goal scorer,uefa semi final akiwa top goalscorer semi final with Argentina in Copa America messi deserve ballon d'orJAMANI ROAD TO BALLON D'OR AND FIFA BEST MAN JEE TUNA MATUMAINI NA MESSI ??!!!!
MAANA NAONA KM VAN DIJK KESHAPEWA BALLON D'OR VILEE!!!!
Kabisa Mkuu, sio tu huyo hata Fabregas alilazimishwa kucheza namba 9 na akafeli pale Barca.Kulazimisha nafasi ni kubaya yasije kujirudia ya Phillipe Courtinho
Unajua Mkuu pale Barca mfumo ambao ulizoeleka ni tiki taka, kwa sasa tiki taka haina faida tena, ule mpira wa kupooza na kuumiliki kwa muda mrefu hauna maana tena.Busquets ni engine nyingne pale kati hakuna wakuikama dunia hii