FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Walichokifanya Ajax ni alert kwa Barcelona na nina uhakika hali itakua mbaya sana kwa Monaco!

Mtoto atapewa kipigo cha mtu mzima maana watafunguka kama wenzao kutafuta goli.

- KANA -
 
Hii VAR itakuja aanzisha 3rd world war-PSG nje. Barca will have to be careful na hii kitu
 
Natangaza rasmi huu ni mwaka wetu UEFA champions league haya ni maono....A treble year ,sijakurupuka kutoa analysis hii
 
Hizi comeback wanazofanya mi zinanitisha mana Kama wametiwa Moto kila timu inataka kupindua matokeo. Tukienda kichwa kichwa tutaumia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…