Irrelevant example nakuona hofu ilikushikaKukutana na real Madrid ligi ya mabingwa ulaya ni sawa na kushindana na Ccm uchaguzi mdogo ,hata ufanyike Kilimanjaro kule siha ,Ccm itashinda kwa ushindi wa kishindo
Wewe umeishi kwa mazoea na ndio yanakutafuna. Kwa hiyo ulitaka mimi niwe kama wao.?Mkuu unanifurahisha ulivyokuja jukwaani unajaribu kubishana kwa hoja ulizonazo maana wenzio wanakujaga na kejeri tu. Ila sasa tatizo lako unatanguliza mapenzi zaidi kuliko uhalisia
Ndio maana nmekuambia nimefurahi kuona mtu kama wewe yaani umekua tofauti na wengine, inshort nilikua nakupongeza sio kukudis.... umenielewa vibaya kiongozi wanguWewe umeishi kwa mazoea na ndio yanakutafuna. Kwa hiyo ulitaka mimi niwe kama wao.?
So sorry mkuu. Nilienda kwa mihemko sikukuelewa. Nimepitia tena.Ndio maana nmekuambia nimefurahi kuona mtu kama wewe yaani umekua tofauti na wengine, inshort nilikua nakupongeza sio kukudis.... umenielewa vibaya kiongozi wangu
Chelsdobo
Pa1 ndugu usikondeSo sorry mkuu. Nilienda kwa mihemko sikukuelewa. Nimepitia tena.
Mwaka huu naona wa mateso sana kwako, Madrid hata final hafiki ndugu yanguReal Madrid Again
Naona unanitafuta vizuri na unakuja vizuri. Endelea kujaa nitakuwashaUnajiuza kwa waume zako sio?
Akili huna
Hebu acha vituko wewe. Mkikutana na Juve au Liver wanawatoa nyie. Kombe hamchukui
Naona unanitafuta vizuri na unakuja vizuri. Endelea kujaa nitakuwasha
Mkuu unatumia uahabiki sana.Na wavaa sidiria si mlisema hivyo hivyo lakini nini kimetokea?? Mbona unajitoa ufahamu mkuu...kama Real madrid, Atletico, man city, Man u, Chelsea, Arsenal, Bayern, PSG na Juve wameolewa tena magoli mengi yametoka kwa Mfalme..sasa washindwe kitu gani kwa Livermasikini ambae yupo top4!!!! Juve nae hatutishi,, kwa uwepo wa Dybala naamini itafanya vizuri sana kwa timu zingine lakini sio Barca ya King Messi. Sometimes tuwe wa kweli...
Muda wake unakuja.😀😀😀😀😀😀 Muwashe kofi moja!
Jamani tuombe fungeni macho
Eeh Mungu kama ambavyo ulitupatia chelsea hatua ya 16 bora ,vile vile fanya maajabu utupatia Real Madrid kwenye robo fainali Amen
#Forca_Barca
Naomba dua ya kumtia uoga adui
Mkuu unatumia uahabiki sana.
Hahaa.. Eti uliza usiogope.Kivipi? Uliza usiogope!