simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Hawa wenzetu myoyo inawajaa hofu kutaja neno Tanganyika. Sielewi kabisa nini wanakiogopa . Mwenye uelewa wa hili atujuze.Hakuna nchi inayoitwa TANZANIA BARA MKUU
Hawa wenzetu myoyo inawajaa hofu kutaja neno Tanganyika. Sielewi kabisa nini wanakiogopa . Mwenye uelewa wa hili atujuze.Hakuna nchi inayoitwa TANZANIA BARA MKUU
Hahahha na huu Muungano umedumu kwa sababu hiyo hiyo ya kutokua na formula inayoeleweka. Udongo ulichanganywa wa nchi mbili ili kupata nchi moja. Lakini Zanzibar imebaki kama nchi katika mambo flani na haina mamlaka kama nchi katika mambo flani ambayo Jamhuri ya Muungano ndio itatambulika kama nchi na kuyasimamia. Huku Tanganyika yenyewe ikiwa imepotea kwenye ramani.View attachment 1768230
Hivi Nyerere na Karume walivyochanganya ule udongo wa bara na visiwani kwenye kile chungu waliweka agano gani?
Na baada ya kuuchanganya waliupeleka wapi?
Atakayejua kile chungu kilipo na udongo wake na yale maneno anaweza vunja Muungano.... na sasa sababu hauvunjiki tuunde Serikali moja malalamiko yaishe
You are a scumbag.Padri mbona umekasirika , au Leo Pampers imekujaa?
Usijifanye mzungu padriYou are a scumbag.
Uingereza waliishawahi kuwa na Serikali moja?Tunahitaji kuwa na serikali moja kuondoa haya malumbano
Mauritius imeendelea sana ila zanzibar ikijitenga sidhani kama watafika hukoAh wap watakuw kama mauritious tu, labda sultan side wa sasa arud
Comoro ni visiwa na watu wake kitamaduni wanafanana na wananzibar na maendeleo ya comoro ni yakawaida sanaHalafu wakarudije nyuma? Hivi Comoro si ni visiwa?
Kwa bidhaa za magendo?
Ukumbuke hata ardhi ya kuwatosha wenyewe hawana, watatoka kwetu wataenda kwa wengine kuwa sehemu ya nchi na mshirika wa muungano.
Kilwa ilikuwa na umeme na sarafu, ikiwa yakwanza kwa huku bara giza kama nilisikia vizuri.
Kumbe hapo kwenye picha na Karume naye anachanganya udongo?
Kuna msemo unasema Picha ni zaidi ya maneno. Hii ni dhahiri inatoa picha halisi juu ya muungano. Nyerere kabeba vikopo vyote vya mchanga akilazimisha muungano. Ilitakiwa wawili wachanganye mchanga kuashiria hiari ya kuunganisha.
Ukisoma machapisho mengi utaona bado wengi wanafikiri kama vile Zanzibar ni mali ya Tanganyika. Hivyo wanaweza tena kulazimisha na kuifuta serekali ya visiwa hivyo. Nataka niwapeni pole sana visiwa vile kunaishi binadaamu kama ilivyo sehemu nyengine ya dunia. Hakuishi wanyama pori kule ukafikiria ukiamka leo asubuhi unasema serekali moja!
Unaposema kuwa nakujumuisha wewe na waliotumia nguvu, na kwamba hupo Tanzania na hushabikii serikali kisha unasema tukuondolee kelele zetu nashindwa kukuelewa. Kelele zetu zinakukerea nini na ya Tanzania hayakuhusu? kiherehere tu kinakusumbuaUnanijumuisha mimi na hao waliotumia nguvu?
Mimi sipo Tanzania miaka zaidi ya 20, sina chama cha siasa na sijaishabikia serikali ya Tanzania kuhusu Zanzibar.
Ukianzisha chama cha Zanzibr kujitenga naweza kukusaidia mchango.
Mtuondolee kelele zenu za kijinga.
Nyerere ndiye Karume au umepata 2 Baridi ?Hujamwona akiukoroga????
Kaburini kwake?Tukio la baada ya hiyo picha ndio kuleee Karume alikopeleka udongo
Kwani kabla uvamizi wa Tanganyika walikuwa vipi?Mauritius imeendelea sana ila zanzibar ikijitenga sidhani kama watafika huko
Wee ngumbaru jifune kusoma kwa ufahamu kwanza kabla hujanikaribia.Unaposema kuwa nakujumuisha wewe na waliotumia nguvu, na kwamba hupo Tanzania na hushabikii serikali kisha unasema tukuondolee kelele zetu nashindwa kukuelewa. Kelele zetu zinakukerea nini na ya Tanzania hayakuhusu? kiherehere tu kinakusumbua
Hii ndiyo hasara ya muungano ambao hauna usawa. Kipande cha ardhi kisicholingana na hata wilaya ya Bara kinapewa hadhi kisichostahili na tunadanganya kuwa tuko sawa. Kama mnaona mnanyonywa nendeni zenu kwa mabwana zenu wa kiarabu muone kama uamuzi wenu ni wa busara.Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo
Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano
My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu
USSRView attachment 1768148
Labda haelewi Uingereza ni Muungano wa nchi ngapi.Uingereza waliishawahi kuwa na Serikali moja?
Endelea kujifunza.Hahahha na huu Muungano umedumu kwa sababu hiyo hiyo ya kutokua na formula inayoeleweka. Udongo ulichanganywa wa nchi mbili ili kupata nchi moja. Lakini Zanzibar imebaki kama nchi katika mambo flani na haina mamlaka kama nchi katika mambo flani ambayo Jamhuri ya Muungano ndio itatambulika kama nchi na kuyasimamia. Huku Tanganyika yenyewe ikiwa imepotea kwenye ramani.
Nadhani Nyerere alitaka hiki kizanzibari kiwe kimkoa ila alichemka ndio maana walikubaliana katika mambo flani na mambo flani ambayo Karume hakuyakubali wakapewa mamlaka yao full. Leo hii wazanzibari wanaona kama kuna kitu wanakikosa kumbe yale wanayoyakosa ndio yalikuwa makubaliano ya Nyerere na Karume yawe mambo yanayosimamiwa na serikali ya Jamhuri.