Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,280
=======
"Kwa nyote mnaoniuliza kama wamenirejeshea uwakili:
JIBU NI:
HAPANA!
Hukumu ya Feleshi kuniSUSPEND bado ipo IMARA japo kuwa:
1. kaniSUSPEND bila ya kunipa HAKI ya kujitetea.
Tangu 2019;
2. Suspension ilikuwa temporary na Hakuna temporary order inayodumu zaidi ya miezi 6!
2019, nilimuomba Ibrahim Juma CJ aipange Rufaa yangu dhidi ya hukumu ya Feleshi isikilizwe kwa hati ya dharura. Akasema HAPANA.
HITIMISHO:
Mahakama Kuu imesema maamuzi ya Advocate’s Committee ni BATILI na Kilangi hajapaswa kunishtaki.
Lakini maamuzi ya Feleshi yako HAI"
Fatma Karume