Fastjet waleta ndege mpya

Fastjet waleta ndege mpya

Loy MX

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2012
Posts
1,253
Reaction score
313
Kwa kile kinachoonesha Fastjet wamedhamiria kufanya mapinduzi ya Anga. wameleta ndege nyingine aina ya Airbus A319.....
 

Attachments

  • fastjet.jpg
    fastjet.jpg
    44.7 KB · Views: 2,448
Kila la kheri jastjet Mungu awa bariki mwendele na kasi hiyo hiyo
 
Hawa jamaa hawana utani kabisa!ukitaka kujua wako serious hebu ingia easyjet.com upate kuona business model yake na ujue kuwa wanatashika market ya EA yoote!Wenzetu Kenya wameshaanza kutoa vibali vya cheap flying business!only kukabiliana na biashara ya hao jamaa!wako serious!
 
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.
 
Dah imekaa powah,tumenunua kwa michango pesa zetu za booking maana fast jet iz full up to Febr nw
watu wabunifu sana,tungeambiwa tuchange inunuliwe ndege kisha tutapatiwa safari ya bure kwenda na kurudi mwanza kila mchangiaji kwa muda wake,hakika tungegoma........imetumika njia mbadala tumechanga wenyewe babakeee!
 
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.
Una kiroba cha ngapi hapo?hahaaaa duh full kumix au unania nyengine ya kubadilisha mjadala kwa makusudi
 
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.
hii nayo inahusu fast jet mkuu,au umechanganya desa comrade?......
ok sio mbaya ujumbe wako utawafikia tu pande hizi za fast jet huwa wanapita pia.......au kama vipi andika barua ya kuomba uhamisho kutoka ktk hiyo halmashauri ya wabaniaji chief....pole bana pambana.
 
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.
Hii nayo ina uhusiano na usafiri wa anga?
 
Dah imekaa powah,tumenunua kwa michango pesa zetu za booking maana fast jet iz full up to Febr nw
watu wabunifu sana,tungeambiwa tuchange inunuliwe ndege kisha tutapatiwa safari ya bure kwenda na kurudi mwanza kila mchangiaji kwa muda wake,hakika tungegoma........imetumika njia mbadala tumechanga wenyewe babakeee!

Kwahiyo sikukuu hii imekula kwangu! Mpaka february tena ndio booking?
 
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.

Ndugu yangu tupo ktk mambo ya FastJet...


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
Naaamm! Hii ni habari njema kwetu Watanzania! Na bila shaka ni changamoto kwa kampuni zingine ya usafiri ya anga!
 
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.

Mkuu hata kama ungepandishwa daraja mishahara ya Tz wewe kama si kigogo hutakuwa na mshahara wa kukuwezesha kusafiri kwa ndege i mean Fastjet...!
 
Safisana.Namuona twiga pale pembeni bado kapiga mbonji hata haelewi kinachoendelea
 
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.

Hii halmashauri ina ubia na fastjet?
 
Kwa kile kinachoonesha Fastjet wamedhamiria kufanya mapinduzi ya Anga. wameleta ndege nyingine aina ya Airbus A319.....

Samahani wakuu hv hawa jamaa watawezafika hadi mbeya pale uwanja mpya wa songwe?
 
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.

what??!
 
Samahani wakuu hv hawa jamaa watawezafika hadi mbeya pale uwanja mpya wa songwe?

kwa mbeya sijajua, ila mwezi ujao wanaanza Zanzibar,Mombasa,Nairobi na Kampala... pia wanafikiria kuanzisha ya Mtwara
 
Back
Top Bottom