Fastjet waleta ndege mpya

Fastjet waleta ndege mpya

walioharibia fastjet soko ni maagent binafs coz wamenunua siti zote za bei rahisi ili wauze wao nfo maana ukienda sasa hivi wanakwambia zimejaa
 
walioharibia fastjet soko ni maagent binafs coz wamenunua siti zote za bei rahisi ili wauze wao nfo maana ukienda sasa hivi wanakwambia zimejaa

wana nunua ki vp? tiket za ndege ni tofaut na ulanguz wa tiket za mpira... wenzako wanapanga safari kwa miezi kadhaa.. we wa siku mbili unataka nauli ya bei rahisi unadhani utapataje unafuu?
 
Kwa kile kinachoonesha Fastjet wamedhamiria kufanya mapinduzi ya Anga. wameleta ndege nyingine aina ya Airbus A319.....

Precision Air ndio mkome na ma-ATR yenu, wenzenu wanaagiza jets nyie bado mna propelers!
 
Una kiroba cha ngapi hapo?hahaaaa duh full kumix au unania nyengine ya kubadilisha mjadala kwa makusudi

Mkuu. mwenzako akipotea, mwelekeze kwa upole, acha matusi. Huoni ni junior member, ame-join 18Nov.2012, na ana post 4 tu???? Kwa nini usimwelekeze kwa upole?????????
 
wana nunua ki vp? tiket za ndege ni tofaut na ulanguz wa tiket za mpira... wenzako wanapanga safari kwa miezi kadhaa.. we wa siku mbili unataka nauli ya bei rahisi unadhani utapataje unafuu?

ngoja nikujuze ni kwamba unafaham maagent au ngoja niseme travel agents kama serengeti travels, masumni tours nakadhalika? hao nao pia wanahusika kufanya bookng za ndege espcly kwa wateja wao ambao hao agents huwaandalia safari zao. so hawa watu hupurchase hizi ticket wao na wanaanza kuziuza kwa watu kwa bei ya.juu ili wapate faida. hujiongezi kuna nani anaeza fanya bookng ya feb now? i knw wat am saying coz nishawah kata ndege kwa travel agent na pia kwenye ofisi za ndege zenyewe so i knw the difference... sikukurupuka
 
ngoja nikujuze ni kwamba unafaham maagent au ngoja niseme travel agents kama serengeti travels, masumni tours nakadhalika? hao nao pia wanahusika kufanya bookng za ndege espcly kwa wateja wao ambao hao agents huwaandalia safari zao. so hawa watu hupurchase hizi ticket wao na wanaanza kuziuza kwa watu kwa bei ya.juu ili wapate faida. hujiongezi kuna nani anaeza fanya bookng ya feb now? i knw wat am saying coz nishawah kata ndege kwa travel agent na pia kwenye ofisi za ndege zenyewe so i knw the difference... sikukurupuka

kijana fastjet hawana ubia na travel agents yeyote hapa Tz.. hii ni low cost Airline unadhani wakiruhusu trvel agents kutakuwa na low fares???? shughulisha ubongo wako kijana
 
kijana fastjet hawana ubia na travel agents yeyote hapa Tz.. hii ni low cost Airline unadhani wakiruhusu trvel agents kutakuwa na low fares???? shughulisha ubongo wako kijana

we ndo wajua hayo tuulize wengine tukwambie sasa au.wewe ni travel agent moja wao
 
we ndo wajua hayo tuulize wengine tukwambie sasa au.wewe ni travel agent moja wao

haya sema yapi uliyonayo? sababu ushaambiwa hakuna ubia na travel agents yeyote we wabisha
 
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.
ar u sure ur in the right place????
 
sisi tunaacha mgombanie huko (kajamba nani) tuko kwa precission air, huku dar-mwanza-dar 199,000/= mi naona poa tuu. ndege ya uhakika. Sitasahau ile siku fastjet walitupigia simu usiku kututaarifu abiria tuliokuwa tunasafiri kesho yake eti 'MSIJE NA MIZIGO, HATUPAKII MIZIGO'wakimaanisha mabegi yetu yale makubwa ya nguo.

Acha dharau hizo za kijinga, leo pw ndio wanaona inawezekana dar mwanza dar kwa 199,000, baada ya kuona fastjet wamekuja kutumbulua kuwa usafiri wa anga unaweza kuwa rahisi kiasi hichi ? Yaani watanzania tumezoea kupigwa na sisi tunakuwa na bichwa eti ukinunua kitu bei ghali we ndio mjanja, yaani ufisadi hadi kwenye biashara, yaani wabongo wajinga mpaka kichwa kinauma, nakumbuka dr. Slaa alivyowambia wabongo mfuko wa cement atafanya mfuko wa cement uwe elf 5 wakaona haiwezekani, na ndio maana vitu vinapanda kila siku tunaona poa
 
poa lakini wahakikishe huduma zake zinaboreshwa
 
Hivi hao fast jet wanajipangeje na safari za pembe zone kama kigoma?maana huku shida tupo, treni shida ,mabasi shida ,fast jet tuokoeni watu wa kg
 
Na hiyo ndege yenye twiga nayo ni fastjet
infact ni kuwaombea mungu wamejiandaa na wako kikazi na ukiongea na bosi wao wamejaindaa na
2yrs loss wanachofanya ni kujitangaza na kukamata outside market kivipi...wazungu wengi sasa hivi awajui tena precission ukienda uk wazungu wanaambiwa kuna fastjet to mwanza ukienda canada kuna fastjet to jro utaona ndege zao zinajaa na zitaendeleea kujaa wao awategemei 32.000 zenu hata kidogo na nje wanalipa in dollers kkisawasawa laki 3 na kadhaa sasa angalia jinsi hela yako 32,000 inavyojaziwa na hawa wazungu unahisi watazimika kama community


nyoooooooooooooooooooooooooooo
 
acha dharau hizo za kijinga, leo pw ndio wanaona inawezekana dar mwanza dar kwa 199,000, baada ya kuona fastjet wamekuja kutumbulua kuwa usafiri wa anga unaweza kuwa rahisi kiasi hichi ? Yaani watanzania tumezoea kupigwa na sisi tunakuwa na bichwa eti ukinunua kitu bei ghali we ndio mjanja, yaani ufisadi hadi kwenye biashara, yaani wabongo wajinga mpaka kichwa kinauma, nakumbuka dr. Slaa alivyowambia wabongo mfuko wa cement atafanya mfuko wa cement uwe elf 5 wakaona haiwezekani, na ndio maana vitu vinapanda kila siku tunaona poa

arv
kama ni mara yako ya kwanza kupanda ndege basi nakubaliana na maneno yako

mkuu mwanasazi
si kosa lake ..kama umekuwaukilipa laki 3 mpaka laki 3 kwenda tu mwanza na kuurudi uwezi andika alioandika arv kama ni marayakwanza na ndugu wakakupokea pale jro airport kama miss eac 2012 basi haki yake kusema hayo
 
hiyo atcl yetu naona imetulia hapo. watumishi 200 tutafika?
 
Back
Top Bottom