Fastjet waleta ndege mpya

Fastjet waleta ndege mpya

Jamaa inaonekana hawajaja kujaribu soko..nimepanda precision ya Dar-Arusha jana ikiwa na viti vingi wazi..hali itazidi kuwawia mbaya kwa style hii hakika.
 
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.

HII NI NDEGE YA KWENDA WAPI? Naona babu umekolea :bange:
 
Naona Kenya airways nao wanataka kuleta low cost coz wameona mambo yanaweza kuwa mabaya kwao
 
Asante kwa taarifa Mkuu, hebu nifahamishe booking ya bei nafuu inaanzia siku ngapi?

Hata hivyo wana ndede ambazo kwa kawaida ni nzuri; mi huwa napenda Airbus kuliko Boeing kwa sababu hata kwa economy class viti kwenye Airbus huwa na space zaidi kwa sababu ya upana wa ndege za aina hii.

We sio msafiri, Kama unapenda airbus nenda kwa BA au Lufthansa


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
Kwa kile kinachoonesha Fastjet wamedhamiria kufanya mapinduzi ya Anga. wameleta ndege nyingine aina ya Airbus A319.....

mpya imetoka wapi na imetoka nch gani.uwezo huo wa kununua mpya wanao?
 
mpya imetoka wapi na imetoka nch gani.uwezo huo wa kununua mpya wanao?

Hapana SIO MPYA, imetoka VIETNAM na WAMEKOPESHWA... Umefurahi sasa???


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
Pole bwana shirika lenu ndo linakufa hivyo.Mnaona wivu fastjet wanashika market
sisi tunaacha mgombanie huko (kajamba nani) tuko kwa precission air, huku dar-mwanza-dar 199,000/= mi naona poa tuu. ndege ya uhakika. Sitasahau ile siku fastjet walitupigia simu usiku kututaarifu abiria tuliokuwa tunasafiri kesho yake eti 'MSIJE NA MIZIGO, HATUPAKII MIZIGO'wakimaanisha mabegi yetu yale makubwa ya nguo.
 
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.

ungeanzisha sredi bandugu hapa sio
 
Una kiroba cha ngapi hapo?hahaaaa duh full kumix au unania nyengine ya kubadilisha mjadala kwa makusudi

Huyo ni mgeni, hajajua bado jukwaa la malalamiko. Ndio kwanza ana posts 4. Msamehe bure tu, tuendelee na kujadili dili za fastjet
 
Safi kabisa, hawa jamaa wa Precision na ATC wametuibia sana!
Kusafiri kwa ndege yaani mtu ilibidi ujiandae miaka!

Hongera sana kwa jamaa wa fastjet

Of course hao PW na ATC ndio walitufanya tuone kusafiri kwa ndege kama ni anasa. Bei zao zilikuwa prohibitive, ndio sababu wakasuka mpango wa kuua community Air ya Mwanza ili ndege zao ziendelee kuhodhi soko.
 
Shirima kazu buti, wapinza wanakuja juu, wewe huduma zinashuka
 
Hawa jamaa hawana utani kabisa!ukitaka kujua wako serious hebu ingia easyjet.com upate kuona business model yake na ujue kuwa wanatashika market ya EA yoote!Wenzetu Kenya wameshaanza kutoa vibali vya cheap flying business!only kukabiliana na biashara ya hao jamaa!wako serious!

£68.60 ni nauli toka london kwenda Gatwick by january 2013 na easyjet. This is a distance of 40 km. Kwa distance hiyo na nauli hiyo, it seems to me kuwa usafiri wa ndege ni ghali Uingereza. najaribu kujiuliza kama sio hawa low cost, za kawaida zinakuwaje. Naomba unielimishe kidogo.
 
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.

Kuku mgeni hakosi kamba!

Sent from my LT26i using Tapatalk 2
 
Zipo mkuu labda alikuwa anamaanisha zile za 32,000, ukifanya booking sasa hivi labda kuondoka tarehe 9 January unapata ya 48,000 ambayo ukilipa na tax inakuwa 59,000, assuming unataka usafiri toka Dar - Mwanza tarehe 31 Dec na kurudi January 17 utaona kwamba kutoka Dar utapata ile ya 32,000 (43,000) na kurudi ipo ya 48,000 (59,000) hivyo usiogope fanya booking sasa hivi ticket zipo just google fastjet unapata mwongozo, hiypo nimecheck sasa hivi nimepata hiyo na ukichelewa ukaja kesho utakuta bei imebadilika na mwisho wa siku utapanda Super Najimunisa au Zuberi kwenda Mwanza

[TABLE="class: BasketItemsTable"]
[TR]
[TD="class: BasketItineraryFlightDivider, colspan: 2"][/TD]
[/TR]
[TR="class: outboundFlight BasketItineraryItemRow"]
[TD="class: BasketItineraryItemColumn, colspan: 2"] Dar es Salaam to Mwanza (FN0161)[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Departure:[/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 31 Dec 06:00[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Arrival Time:[/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 31 Dec 07:30[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Fare:[/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 32,000 TZS[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Taxes:[/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 11,040 TZS[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Total:[/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 43,040 TZS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: BasketItineraryFlightDivider, colspan: 2"][/TD]
[/TR]
[TR="class: inboundFlight BasketItineraryItemRow"]
[TD="class: BasketItineraryItemColumn, colspan: 2"] Mwanza to Dar es Salaam (FN0162)[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Departure:[/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 17 Jan 08:45[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Arrival Time:[/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 17 Jan 10:15[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Fare:[/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 48,000 TZS[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Taxes:[/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 11,040 TZS[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Total:[/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 59,040 TZS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: BasketItineraryFlightDivider, colspan: 2"][/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketBaseFareTotalPriceRow"]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn1"] Total fares and taxes:[/TD]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn2"] 102,080 TZS[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketBaseFareTotalPriceRow"]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn1"] Total Baggage:[/TD]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn2"] 0 TZS[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketGrandTotalRow"]
[TD="class: BasketGrandTotalColumn1, colspan: 2"] [TABLE="class: BasketGrandTotalTab"]
[TR]
[TD="class: BasketGrandTotalCaption"] Total payable:[/TD]
[TD="class: BasketGrandTotalPrice"] 102,080 TZS[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

ANGALAU MWAKA MPYA UTAWAHI


Nashukuru sana mkuu,ngoja niwahi kufanya booking..this time nimedhamiria nikapate mchemsho wa Sato original toka Ziwani! Nitakua Malaika pale..
 
Fastjet ukweli sasa wanashika soko la anga kwa kasi ya ajabu.
Ningeishauri PW na wao wabuni aina ya ushindani kibiashara ili waendane na hali hii kuliko kubuni mbinu za propaganda na kuhonga ma-engineer wa ndege pinzani ili wafanye itilafu katika ndege kama walivyo fanya ATC.
Na fastjet wasipokaa sawa na hizo mbinu za PW watatoka kwenye soko mapema na PW waendelee kuvuna mapesa!
 
Asante kwa taarifa Mkuu, hebu nifahamishe booking ya bei nafuu inaanzia siku ngapi?

Hata hivyo wana ndede ambazo kwa kawaida ni nzuri; mi huwa napenda Airbus kuliko Boeing kwa sababu hata kwa economy class viti kwenye Airbus huwa na space zaidi kwa sababu ya upana wa ndege za aina hii.

At least wiki mbili kabla ya safari though nadhani na wao wanaangalia zile siku za sikukuu mfano ukiingia kwenye website yao zile tarehe za mwanzo kuanzia tarehe 1 mpaka 6 nauli unakuta 80,000 lakini mtu akikata let say tarehe 31 December kama unatokea Dar - MZA utapata ile ya 32,000 (43,000 pamoja na kodi) but tarehe hiyo hiyo kama mtu anatokea MZA - Dar nauli ni 48,000 (59,000).

Search to website yao fastjet for detail, ipo simple na inakuwezesha kufanya maamuzi maana bei zote zipo pale unachofanya ni kutafuta tarehe ambayo unaona mfuko wako unaweza
 
Safi sana. Tuwakomeshe kabisa kabisa hawa precision. Wametunyonya kiasi cha kutosha, wametudhulumu kiasi cha kutosha, na wametunyanyasa kiasi cha kutosha. Sasa tunataka mapinduzi. Mapinduzi haya yanaletwa na fastjet.
 
Back
Top Bottom