Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
Samahani wakuu hv hawa jamaa watawezafika hadi mbeya pale uwanja mpya wa songwe?
aah wapi ili waitungue km ile sesna.mby wanga xana
Samahani wakuu hv hawa jamaa watawezafika hadi mbeya pale uwanja mpya wa songwe?
what??!
Mkuu hata kama ungepandishwa daraja mishahara ya Tz wewe kama si kigogo hutakuwa na mshahara wa kukuwezesha kusafiri kwa ndege i mean Fastjet...!
sisi tunaacha mgombanie huko (kajamba nani) tuko kwa precission air, huku dar-mwanza-dar 199,000/= mi naona poa tuu. ndege ya uhakika. Sitasahau ile siku fastjet walitupigia simu usiku kututaarifu abiria tuliokuwa tunasafiri kesho yake eti 'MSIJE NA MIZIGO, HATUPAKII MIZIGO'wakimaanisha mabegi yetu yale makubwa ya nguo.
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.
Kwahiyo sikukuu hii imekula kwangu! Mpaka february tena ndio booking?
Safi kabisa, hawa jamaa wa Precision na ATC wametuibia sana!
Kusafiri kwa ndege yaani mtu ilibidi ujiandae miaka!
Hongera sana kwa jamaa wa fastjet
Jamaa wa ukweli sana hawa
Ukichelewa booking nauli ni almost the same na wakati mwingine hata huko presion nako unaweza pata ndege ya chini pia, ila kiukweli hawa jamaa ni wazuri sana kwa wale wanafanya safari za kujipanga maana return ticket haizidi laki moja. Ila wamekomesha kipengele limoja tu hakuna kubeba samaki maana ndege inayotoka Mwanza lazima abiria wengi utawaona na ndoo ya samaki wabichi hivyo kidogo vijizawadi vya samaki wabichi toka Mwanza hakuna
sisi tunaacha mgombanie huko (kajamba nani) tuko kwa precission air, huku dar-mwanza-dar 199,000/= mi naona poa tuu. ndege ya uhakika. Sitasahau ile siku fastjet walitupigia simu usiku kututaarifu abiria tuliokuwa tunasafiri kesho yake eti 'MSIJE NA MIZIGO, HATUPAKII MIZIGO'wakimaanisha mabegi yetu yale makubwa ya nguo.
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.
Huyu ni Ana maslahi na Precision airjamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.
jamani kuna halmashauri hapa nchini hazifai, tumeajiliwa tangu mwaka 2005,mpaka sasa hatujapindishwa daraja mnamo mwaka jana mwezi wa kumi tulipewa barua za kukubali madaraja na mwisho wa siku wakadai tuludishe barua zote. kwa hiyo mpaka sasa madaraja hayajapanda na mkurugenzi ni mbishikupandisha watu madaraja.
kwa mbeya sijajua, ila mwezi ujao wanaanza Zanzibar,Mombasa,Nairobi na Kampala... pia wanafikiria kuanzisha ya Mtwara