FASTJET: My first and last experience

FASTJET: My first and last experience

Pole sana kwa matukio na samahani kwa nitakayoyasema.

Nilishaona kwa macho yangu, desk check ya Turkish Air ikiwa imefungwa saa moja kabla. Ila alikuwepo Mbabe mmoja akapiga simu kwa mama mmoja ndani na wakafungua ingawa wafanyakazi wa Turkish Air walishasema kuwa hadi kesho.
Naona nyie mlikosa mtu kama huyo.

Ila nashindwa kuelewa kitu kimoja, ninavyofahamu mie ni kuwa kwa sasa kwa sheria za ulinzi zilivyo uwanja wa ndege, unatakiwa ufike masaa mawili kabla yaani dakika 120 kabla. Sasa wewe nani alikuambia unafika dakika 40 kabla? Dakika 40 kabla ni kuwa ndiyo mnajiandaa kwenda kuingia kwenye ndege tayari na si kwamba ndiyo unafanya Check-In.
Naona ukaja tena kuchelewa hata Bus la kwenda KIA. Yaani hata Bus likakuacha jamani? Nalo sijui utasingizia nini?

Pole sana kwa tukio ila kumbuka kuwa uwanja wa ndege unatakiwa kufika saa MBILI kabla popote pale duniani labda kama umesha Check-In online na huna mzigo, yaani unafika tu na kuingia ndani kusubiri kupanda ndege.

Hizo sheria umezitoa wapi mkuu?

Naomba msaada ili nisije kufumaniwa.....

Hadi leo najua kuwa local flights in saa 1 kabla ya safari na international flights in 2-3hrs.

Hizo za kwako umezitoa wapi kaka?

Babu DC!!
 
Ukiacha ile arrogance Fastjet wako sahihi kabisa. Kawaida check-in inapaswa kumaliza dakika 30 kabla ya ndege kuruka ili kuwapa marubani kupitia loadsheets kujua wana abiria wangapi, mizigo ya uzito kiasi gani na mafuta kiasi. Bila kufanya hivyo ndege haiwezi kuondoka. Kama check-in imeshafungwa sio rahisi kufungua kwa ajili ya abiria wachache labda liwe jambo la kufa na kupona. Hata pale ambapo ndege imepata hitilafu kama Ground handling Agent yaani Swissport wamefunga usiku Manager wa Fastjet hana cha kufanya. Jifunze kuwahi maana ndege haisubiri mtu labda awe Rais

Ndege inaondoka saa 3:30 usiku, alifika KIA saa 2:40 usiku! Unaona ni dakika ngapi hizo? Unaposema alichelewa una maana gani? Maana kumbuka amesema kuwa check-in time ni 40 minutes before safari!! HIyo ina maana kwamba lifika dakika 50 kabla ya safari na hivyo ni dakika 10 kabla ya check-in deadline.

Labda nielezee kidogo hapo.
 
Ofisi nyingi bongo ongea nao kwa kiingereza na hata mawasiliano fanya kwa kizungu lazima upate huduma wanababaika sana. Kuna siku niliwapigia CRDB kuulizia sim banking.....nitatema yai, walihangaika sana kupata walau wa kuelewa na kunielewesha.....jaribu sikumoja kuwapigia CCM makao makuu ongea kiingereza uone watakavyohangaika hata kukata simu yako.


Kweli kabisa mkuu...

Watanzania (may be Waafrika wote) tunazuzuliwa na lugha za watu (kithungu, spaniola au Kifaransa), suti au zile prefix zenu zile....

Ukishamwambia mtu kwamba mie naitwa Prof/Dr au Hon ........ (which I hate so much) anahangaika hadi unamwonea huruma....yaani anakunjia mkia mata-koni kama mbwa koko!!

Babu DC!!
 
Pole sana ndugu Tiba,

Customer care ya Watanzania ni mbovu sana karibia kila mahali...

Inasikitisha ila mara nyingi najikuta nikilazimaka kutumia hata vitisho au kujivika vyeo ambavyo sina ili kuruka viunzi ambavyo hawa watoa huduma huweka bila sababu za msingi...

Kwa hiyo kuwastua watu kuwa nawapigia vijana wangu wa Ikulu sasa hivi ni moja ya mambo ambyo huwa yako kwenye amoury yangu!!

Ushauri wa Masanilo pia wa kuwabadilishia lugha baadhi ya hao wapuuzi wakati mwingine unasaidia.

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Dah! siku ya 26 April nikuwepo pia first jet na kweli abiria walilahi waiting longe.

Kwenye siku hiyohiyo sikia mkasa ulionikuta!
 
Pole sana ndugu Tiba,

Customer care ya Watanzania ni mbovu sana karibia kila mahali...

Inasikitisha ila mara nyingi najikuta nikilazimaka kutumia hata vitisho au kujivika vyeo ambavyo sina ili kuruka viunzi ambavyo hawa watoa huduma huweka bila sababu za msingi...

Kwa hiyo kuwastua watu kuwa nawapigia vijana wangu wa Ikulu sasa hivi ni moja ya mambo ambyo huwa yako kwenye amoury yangu!!

Ushauri wa Masanilo pia wa kuwabadilishia lugha baadhi ya hao wapuuzi wakati mwingine unasaidia.

Babu DC!!

Babu Salama? Huonekani ama wajukuu wanacheza na babu yao? Hii Nchi kila kitu hovyo hovyo tu
 
Babu Salama? Huonekani ama wajukuu wanacheza na babu yao? Hii Nchi kila kitu hovyo hovyo tu


Mapambano kaka,

Tanga lini tena?

Wajukuu siku hizi wanasumbua hadi babu anaweka mpira kwapani....

Na hapa asione chizi kama Kongosho au Madame B...lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Za Asubuhi,
Pole sana, Napenda kukjulisha kila safari huwa ina mashaka na tafrani zake " waswahili wanamsemo huu; Kila taahira(kuchelewa) kuna kheri yake " huoni kuchelewa kwako kulikuwezesha kufika Dar mapema kabla ya Fastjet.....!!
Usia huu usiilaaani fastjet You don't know kesho.
Good luck
 
Pole sana ndugu Tiba,

Customer care ya Watanzania ni mbovu sana karibia kila mahali...

Inasikitisha ila mara nyingi najikuta nikilazimaka kutumia hata vitisho au kujivika vyeo ambavyo sina ili kuruka viunzi ambavyo hawa watoa huduma huweka bila sababu za msingi...

Kwa hiyo kuwastua watu kuwa nawapigia vijana wangu wa Ikulu sasa hivi ni moja ya mambo ambyo huwa yako kwenye amoury yangu!!

Ushauri wa Masanilo pia wa kuwabadilishia lugha baadhi ya hao wapuuzi wakati mwingine unasaidia.

Babu DC!!

Jamani mbavu zangu, yaani nimecheka mpaka basi. Unajua kufanya hivyo mpaka uwe na guts la sivyo wengine tuliumbwa na nyuso za aibu na woga. Ulichokisema ni kweli customer care ni janga la kitaifa. Unakuta mtu anamhudumia mteja halafu anampandishia sauti, can you imagine?

Tiba
 
Pole sana mkuu.....kumbe tulikuwa wote pale......ila mwenzio nilicheza ushapu nikaondoka na 5H-CCM.......

Preta, wewe mkali, mbona hukunishtua na mimi nifuate mkondo jamani?

Tiba
 
gharama nyingi ni zakujitakia...hapakuwa na sababu ya kukodi tax mara tatu toka arusha kwenda KIA. kuna hoteli za kutosha moshi bado ungepata hifadhi. pia gharama ya hoteli ni ya kujitakia.

Sawa kaka ulitaka nitembee kwa miguu na mabegi yangu, poa!!!!

Tiba
 
Dah! siku ya 26 April nikuwepo pia first jet na kweli abiria walilahi waiting longe.

Kwenye siku hiyo hiyo sikia mkasa ulionikuta!

Mkuu Fighter, lete story tunasubiri!!!!! Kipi kilikupata, maana nikiwaambia watu wengine humu wanakuwa ni kina Thomaso, hawaamini.

Tiba
 
Preta, wewe mkali, mbona hukunishtua na mimi nifuate mkondo jamani?

Tiba
Wengine tuna ma-karama (angels) mambo kama hayo yakitukuta huagiza The flying carpet yajakutubeba...next time just call!!
 
Pole sana mkuu.....kumbe tulikuwa wote pale......ila mwenzio nilicheza ushapu nikaondoka na 5H-CCM.......

Ulikuwepo wakati yule bibi akitugawia Ndizi pale waiting longe baada ya kuboard na kushushwa?

Siku ile pia nilipata mkasa mkubwa ambao kwakweli nimewasalute Wadada!
 
Pole sana.
Lakini taabu yote ya nini, ungepanda tu Luxury Bus kutoka Arusha mpaka Dar, na ungepata faida zifuatazo:

1/Gharama Nafuu(Nauli Haidizi Tsh 30,000/=)

2/Ungepata wasaa wa kufanya utalii wa ndani.

3/Hakuna gharama za ziada zilizojificha(eg.Taxi, VAT, Lugagge Charge nk)

Very high Risk traveling by buses! magari ya Arusha ni majeneza yanayotembea. Generally, usafiri wa mabasi ni majeneza yanayotembea! They are very rough!
 
Back
Top Bottom