ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
Ama kweli watoto wa sasa hawana adabu kwa wazee wao. Ilitokea baba na mtoto kufarakana katika mazungumzo ambayo yalikuwa kama ifuatavyo:
Baba: Mbona unafeli kila mtihani mwanangu?
Mtoto:Sababu sina akili
Baba:Sasa ngoja nikupige fimbo ili uwe an akili
Mtoto:Ingekuwa fimbo ndio humfanya mtu kuwa na akili basi Farasi angekuwa PROFESA.
Baba: Mbona unafeli kila mtihani mwanangu?
Mtoto:Sababu sina akili
Baba:Sasa ngoja nikupige fimbo ili uwe an akili
Mtoto:Ingekuwa fimbo ndio humfanya mtu kuwa na akili basi Farasi angekuwa PROFESA.