Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 15,888
- 36,270
Form 6 washamaliza mitihani yao mkuu!!Mkuu acha basi drama, magroup ya whatsapp?
Form 6 washamaliza mitihani yao mkuu!!Mkuu acha basi drama, magroup ya whatsapp?
1😛esa za rambi rambi Kagera
2😛esaza rambi rambi Arusha
3: Pesa wa wafanyakazi fao lake aliloweka kumlinda
4: Utitiri na kodi za kupitiliza
5:Faini na makusanyo ya Trafiki
6: Kodi ya reli
Eh Mungu tuokoe na hizi dhuluma!
Mkuu hilo group la WhatsApp lenye kuchukua watu 250?!!!!!!
Mkuu acha basi drama, magroup ya whatsapp?
Ndo manake.Mimi haya mambo sielewi.
Ina maana hata wale wanaofanya kazi kwenye miradi pindi miradi inapofikia ukomo zile pesa zao kule NSSF hawazipati au vipi?
Ndo manake.

Huu ni unyonyaji uliopitiliza.
Mimi ndio maana nawachukia wale wabunge maana hakuna wanachokifanya bungeni.
Huu ni unyama mkubwa.
Wabunge wa Ndiooo
Ila some times ni huu mhimili mwingine ulijichimbia chini zaidi
Saa ingine wabunge wanatishwa
Mkuu Mpadmire,
Jaribu kutendea haki umri wako kwa kushirikisha ipasavyo ubongo wako.
Hoja ya whatsapp group ni ya kipuuzi kuliko.
Unaweza vp anziwa hilo group ambalo litabeba wafanyakazi wote ambao ni 5% ya Tz sote na kati ya hao chini ya 1% hawamiliki smart phones.
Nani hasiye jua kuwa suluhisho la kero za wafanyakazi ni wafanyakazi wenyewe kupitia vyama vyao.
Kwanza kupitia meza ya mafidhiano baina ya pande zote, mwajiri/serikali na mwajiriwa.
Pili ni hatua ya mwisho endapo vipengele vya hatua ya kwanza kushindwa fikia mwafaka dhidi ya ajenda husika. Nayo ni Mgomo na maandamano ya wafanyakazi wote (solidarity).
Hatua zote hizo zinakuwa facilitated kupitia maeneo ya wafanyakazi au sema matawi ya vyama kwa mikutano maalum kiamasisha jambo husika.
Wewe unakuja na drama zako za kitamthilia, tukisema unapanic.
Kilaza sio kilazer.