scaltingscalting
Senior Member
- Feb 10, 2017
- 146
- 55
Acheni tu yapite mana haya waliyapanga toka mwanzo kwani kura waliziesabu wenyewe hawakutaka shaidi. Na kama kweli hasira inakuja pole pole basi naona ya wa tanzania karibu itafika mahali pake.!wale walikufa kenya hawakupenda ila waliyataka ili adabu iwepo japo hayakuwa maamuzi mazuri. Kikubwa tuombe ulinzi wa mioyo yetu kwa mungu mana hakuna ambalo halina mwisho wapo watakaozaliwa wanaoweza kuongea na matendo na kama sio kizazi hichi cha sasa kipo kinachokuja na sumu kisichoelewa chochote. NAOMBENI MSINIELEWE VIBAYA NI HASIRA TU