Huu ni upuuz sana sasa unataka mfanyakaz wa migodini asubiri had miaka 55 ndiyo achukue mafao yake huu ni wizi na ni dalili ya serikal kutaka kuibeba hii mifuko baada ya wao serikal kuponda pesa zote za kwenye mifuko ya jamii . kwa mtindo huu kuna haja gan ya kureplace fao la kujitoa kwa kuweka bima afya nazan FAO ambalo lingekuwa sahihi kwa hali hii ni kuweka tu FAO la Unemployment benefit ili mtu akiwa hana kaz basi alipwe pesa had akija kupata kaz
Kwa huu mtindo wa viongoz kujifanya manyapala nawaambia hii nchi tutakuja kutafuta ubaya . kipind hiki bila unafik wamechochea sana chuki kutoka kwa wananchi , hebu angalia huku Mara watumishi hewa(kuna waliosimamishwa wakat sio watumishi hewa) huku wanafunzi hewa , Mara wenye kukosa vigezo vya kujiunga chuo n, huku ukija kuna manyanyaso kibao wafanyabiashara na wafanyakaz wanaishi kama watumwa kwenye nchi yao , hakuna tena Uhuru wa kutoa maoni au kukosoa pale wanapokosea viongoz wa serikal, utata kwenye maamuz ya pesa zetu Leo hii mkuu wa familia anapanga mwenyewe matumiz ya pesa kwenye miradi bila kusubiri idhini ya bunge , vyama vya upinzan hawana haki ya kufanya kaz zao, michango ya misiba inaliwa , michango ya tetemeko hatujui ilipo, kutumbuliwa kwa kuoneana, haya hili la vyeti feki bila huruma watu wanatimuliwa ovyo kuna watu kwa pressure walikaribia kustaafu wanafukuzwa , matokeo yake wengine wana kufa, lakin vyeti feki hivyo mkuu kuna mkuu wake wa mkoa had Leo anamlinda
Yapo mengi sana ya kusikitisha hawa wanaofanyiwa huu ubaya taarifa zao zinasambazaa had vijijin maana huko wapo familia zao wakiona matatizo na kuambiwa ukwel juu ya huu uonezi wa serikal dhidi ya haki yao hakika ule unafuu wa kusema vijijin ni mafala unazid kuondoka , maana na wao wanakosa misaada kutoka kwa hawa waliokuwa wanawategemea
Kuna watoto wa wakulima wsmesoma ualimu had Leo ajira hawapewi na hakuna majibu ya maana juu ya hili
Kuna kukosekana kwa ajira na mbaya zaid naona maisha ni magumu kila muda
Hii na mengine watz watachoka mwisho wa siku hasira zao tutashindwa kuja kuzuia kisa ujinga wa viongoz wetu
Mungu ibarik Tanzania