Fanyieni usafi nywele zenu za bandia

Fanyieni usafi nywele zenu za bandia

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,685
Leo nusura nitapike katika daladala..,

Kama unavyojua tarehe hizi za katikati ya mwezi ni uhaba...,

Imenibidi nitumie usafiri wa umma...,

Tulikuwa tumeshonana alafu bidada ndio yuko usoni kwangu, balaa ! Nusura nitapike jinsi nywele za huyu mwanadada zilivyokuwa zinatoa harufu mbaya..., kwanza nilifikri kuna mtu katoa hewa chafu..!

Loh! Safari nzima..., mpaka ninashuka!

Jamani jirekebisheni akina dada, hii siyo sawa!
 
Leo nusura nitapike katika daladala..,

Kama unavyojua tarehe hizi za katikati ya mwezi ni uhaba...,

Imenibidi nitumie usafiri wa umma...,

Tulikuwa tumeshonana alafu bidada ndio yuko usoni kwangu, balaa ! Nusura nitapike jinsi nywele za huyu mwanadada zilivyokuwa zinatoa harufu mbaya..., kwanza nilifikri kuna mtu katoa hewa chafu..!

Loh! Safari nzima..., mpaka ninashuka!

Jamani jirekebisheni akina dada, hii siyo sawa!

Wasichana acheni kukaa na nywele miezi kibao bila kuosha. Uchumi ukikushinda si ukate!
 
mhhh bifu?hilooooooo ngoja waje wenyewe mimi nitakua judge
 
hahaaaaa
bora mie ctumii hzo nywele
ngoja waje wenyewe
 
...wengine hawanyoi naniiiii hata garden zinakosa usafi kamili
 
ila ni kweli mkuu hata mimi huwa zinaniboa sana,wengi wa akinadada nywele zao za bandia hutoa harufu kali sana,mi mwenyewe karibia kila napokuwa karibu na wadada wenye minywele hiyo huwa naisikia harufu hiyo na huwa najitahidi sana kuwa mbali nao kwani huniletea kichefuchefu sana
 
Ha ha haaaaaaaaa viwigi, bonding,human hair, piece, fake braziliani kushoneaaaa na makolombwezo yyyyoteeeeee mupoooooooooooo!!!!!!!!!

Shurti kuunukisha mto hapo bedini!!!!!

Kila saa hani hag mi,mara ooonh nilale kifuani kwako??!!!!

Usiombe apigwe na mvua sasa!!!!!

Hebu fanyieni kazi hii....kansa za mapafu zinasababishwa na mengi!!!!!!!

Salamu ziwafikie wafuatao

lara 1 vp mamii hand drier haifanyi kazi??????
Heaven on earth kama shampoo imekwisha pale kwa mama naonaga chupa ya tancho!!!!!
Christine Ibrahim salon mpaka home ni dakika ngapi???!!!!
mimi49 ukilitoa hilo wigi ukaoshe kwanza kabla ya kushonea jingine
Kongosho my dada hizo zako si majimoto hebu osha bana afterall zitatokea na mtindo mupyaaaa!!!!!!!
 
kweli kabisaa wasichana wengi wananuka nywele.
hapo papuchi hujagusa
 
Mie kila siku nasema, kama hela ya kuunga ni bora nunua weave ya elfu kumi tu, shonea wiki moja, yapili unatoa na kutupa. Ukitaka kuweka tena unanunua jipya.

Sasa hii dhana ya orijino mara linasetiwa au halisetiwi, unakuta mtu kajibana kanunua weaving na anakaa nalo miaka, hawezi kulitupa. Na wakati mwingine anakaa nalo kichwani mwezi, ama halioshi kabisa au saloon anayoenda hawajui kuosha vizuri, matokeo yake uchafu unavimba, ukijumlisha na joto la Dar, ndio patamu hapo.
 
Ha ha ha ha, mie napenda zaidi nywele zangu kuliko wigi. Japo huwa naweka once in a while, lakini nikiweka, natoa na kutupa. Nikitaka kuweka tena nanunua mpya. Hii kuosha na kuset, saloon wakikosea tu au ukinyeshewa ni hatari. Afu kitu kingine wigi zikikugusha zinawasha ngozi, ndio maana sizipendi.

Kongosho my dada hizo zako si majimoto hebu osha bana afterall zitatokea na mtindo mupyaaaa!!!!!!!
 
...Na kilio changu kingine ni makwapa, makwapa machafu mpaka yanatoa unga unga? wanawake kuweni wasafi bwana!
 
Wangejua wanamume tunapenda natural hair sio hayo mabrazilian fake.
 
:A S 39::A S 39::A S 39:😛eep:😛eep:tena wanaoongoza kwa huo uchafu ni masista duu wasio na vifaa,ukimuona anajishaua shaua na maringo kibao,,,,,msogelee kichwani sasa utapiga chafya na kichefu chefu juu,sijui hao waume zao na mashosti hawawaambii au ni ujinga tu.
 
mtu anasuka wig anakaa nalo miezi miwili saloon anaingia mara mbili kweli litaacha kunuka,kuna wengine harufu inakufikia kabla hujamsogelea ooooh ukimtazama kuanzia chini hadi juu hata hafananii na hiyo harufu inayomtoka:tape::tape:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom