cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,326
Wakija watasema uliona maruweru ila naamini dunia hii ina vingi binadamu hatuvijui kwa macho ya kawaida, ila kwenye mlango mwingine
Wakija watasema uliona maruweru ila naamini dunia hii ina vingi binadamu hatuvijui kwa macho ya kawaida, ila kwenye mlango mwingine
Hongera mkuu kumbe unamiliki AC
Nimechekaaaaaa mpaka Nimesakamirwaaa.Niache kufanya vitu vya maana(kulala) nishangae nyota.. Nikimuona shetani, ntajificha wapi?
Huu mchezo niliufanya nulipokuwa mtoto. Maajabu ni kuwa, unachokiona wewe jirani yako Anaweza asikione, Badala yake anaweza akakiona kitu kingine cha tofautiMimi ni madadisi sana, hupenda sana kudadisi vitu visivyo vya kawaida.
Katika udadisi wangu situmii mbinu yoyote ya kisayansi bali hupenda kutumia macho, pua, masikio na zaidi hisia.
Kuna siku mida ya saa saba za usiku umeme wa tanesco ulikuwa umekatika, sikuweza kustahimili joto la ndani ya nyumba maana AC/feni bila umeme haiwezi kufanyakazi.
Basi nikaamua nitoke zangu nje ya nyumba kupunga upepo.
Kwa kuwa umeme ulikuwa umekatika, nje ya nyumba kulikuwa kimya sana huku anga likiwa na utulivu usio wa kawaida.
Hali ya kukatika kwa umeme ukafanya eneo lile liwe na kiza sana na kufanya nyota za angani zionekane kwa uzuri bila tashwishi.
Hapohapo likanijia wazo la kutazama angani kwa utulivu ili nishangae nyota.
Basi nikavuta pumzi na hisia ya juu sana nikiwa nimetazama angani nikilitafakari anga, nyota na uwezo usio wa kawaida wa aliyeviumba.
Nililitazama anga kwa takribani kama dakika kumi au kumi na tano bila kutikisika nikiwa katika tafakari au hisia ya juu sana(sijui wenyewe ndio mnaita hisia ya sita).
Basi ghafla nikaanza kuona vitu visivyo vya kawaida vikitembea angani, niliona mamia ya nyota zikisogea kwa kupishana taratibu kutoka point moja kwenda point nyingine.
Vitu vingine nilivyoviona siwezi kuvielezea kwa uzuri, mpaka leo bado navitafakari.
Nakusihi na wewe fanya jaribio hili, unaweza kuona maajabu zaidi ya niliyoyaona mimi.
Kwa hakika anga lina maajabu sana na limetunza siri nyingi.
hakuna half time??Yani mbunye iko ndani imejianika nikae nje kutoa macho tu wakati inatakiwa niwe nagegeda kama ni mlinzi sawa
kilichokufanya uwe mdadisi ni kwasababu umeme ulikatika tu, ungekuwa mdadisi ungekuwa unaangalia anga kila siku hivyo ungekuwa unadadisi vitu vingi tu......mfano mm najua ni sayari gani zinaonekane kwa ukaribu leo, ISS iko position ipi ya dunia, chombo gani kinategemewa kurushwa angani na makitu mengi tu siyo hayo maruweruwe yako uliyoona......ukitaka kujua ni maruweruwe fumba macho kwa dakika kumi halafu fungua uone.......
Mkuu uzi wako ungeweza fupisha kwenye sentensi mbili tu
Hongera mkuu kumbe unamiliki AC
ulikua unaona maruerue mkuu
Ulivuta bangi kidogo?
Mi nilijua labda kuona wachawi wakiwa uchi ni wachungulie
Nimechekaaaaaa mpaka Nimesakamirwaaa.
Mtu akivuta sigara kali au akilewa pombe, ni jambo la kawaida kuona maajabu kama hayo anapotazama angani.
....hakuna half time??
Huyo atakuwa wa darna hivo ulivyomuoga ni kweli bora ulale. usije ukaanza kuweweseka wiki nzima.
Half time ni kwenda kuoga nakurudi asehhh sio kwenda nje nakuangalia manyota nyotahakuna half time??
Aliyekuambia Nyota zinapishana taratibu ni nani huyo Mualimu tumchape!Mimi ni madadisi sana, hupenda sana kudadisi vitu visivyo vya kawaida.
Katika udadisi wangu situmii mbinu yoyote ya kisayansi bali hupenda kutumia macho, pua, masikio na zaidi hisia.
Kuna siku mida ya saa saba za usiku umeme wa tanesco ulikuwa umekatika, sikuweza kustahimili joto la ndani ya nyumba maana AC/feni bila umeme haiwezi kufanyakazi.
Basi nikaamua nitoke zangu nje ya nyumba kupunga upepo.
Kwa kuwa umeme ulikuwa umekatika, nje ya nyumba kulikuwa kimya sana huku anga likiwa na utulivu usio wa kawaida.
Hali ya kukatika kwa umeme ukafanya eneo lile liwe na kiza sana na kufanya nyota za angani zionekane kwa uzuri bila tashwishi.
Hapohapo likanijia wazo la kutazama angani kwa utulivu ili nishangae nyota.
Basi nikavuta pumzi na hisia ya juu sana nikiwa nimetazama angani nikilitafakari anga, nyota na uwezo usio wa kawaida wa aliyeviumba.
Nililitazama anga kwa takribani kama dakika kumi au kumi na tano bila kutikisika nikiwa katika tafakari au hisia ya juu sana(sijui wenyewe ndio mnaita hisia ya sita).
Basi ghafla nikaanza kuona vitu visivyo vya kawaida vikitembea angani, niliona mamia ya nyota zikisogea kwa kupishana taratibu kutoka point moja kwenda point nyingine.
Vitu vingine nilivyoviona siwezi kuvielezea kwa uzuri, mpaka leo bado navitafakari.
Nakusihi na wewe fanya jaribio hili, unaweza kuona maajabu zaidi ya niliyoyaona mimi.
Kwa hakika anga lina maajabu sana na limetunza siri nyingi.