Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,024
- 24,374
Hapa nilipo umeme umekatika usiku kucha, na kila siku ni lazima ukatike walao marambili!Hii ulifanya awamu ile ya Richmond bila shaka. Awamu ya hapa kazi kukatika umeme inanza kuwa kama simulizi za hekaya za abunuasi.