Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,133
- Thread starter
- #161
Kila Mmoja atatoa ushuhuda wake humu ni swala la mda tuwachaweee
Kila Mmoja atatoa ushuhuda wake humu ni swala la mda tuwachaweee
Duuuh Hili jina mbona lina hatari YAVUZ YAKUZ PETRA SATREA
Sidanganyiki kwanza sina dukaSina mengi mkuu watu wanatoa ushuhuda huku
View attachment 3297588
Naona jina lazid kuleta maajabu mkuuView attachment 3297597
Jamaa Wa Kulia Cover Ya Juu Ndio Yavuz
Sidanganyiki kwanza sina duka
em banaeeKila Mmoja atatoa ushuhuda wake humu ni swala la mda tu
aya em namie muamala usomeMwenzako mama pretty alikua kama wewe ila cheki sasa
View attachment 3297632
Mashangazi yanaanza kukutesa mkuu.Hi ni mara ya pili natoa elimu ya Angel number lakini mod wamekua wakifuta kila siku its oky..
Leo natoa somo moja ambalo kama una roho nyepese usije jaribu hata kidogo.
Ikifika sa nane usiku jifungue chumbani kwako kama upo na mwenzako mwambie akupishe maana hilo jambo ni pasua kuchwa kidogo.
Baada ya hapo hakikisha ujavaa nguo zenye kukubana sana yaani uwe freely.
Katika hiko chumba hakikisha hakuna maji, chumvi wala kitana au chanuo.
Chukua simu yako kisha weka hii nyimbo kwa sauti kubwa sana kama una earphones vaa (Hoist the colour)
View attachment 3297278
Nyimbo hii inapoanza kuimba weww kuwa unasema haya maneno mara kwa mara
(YAKUZ, YAVUZ )
View attachment 3297527
Mda huo unakua umekaa chini ujaegemea popote pale. Baada ya nyimbo kuisha kwa kuwa uliweka repeated one mara ya pili acha kusema haya maneno ila sasa hvi sema chochote unachotaka kukiona mda huo unakua umefumba macho.
Nb unapoonza hakikisha unamaliza
Sema haya maneno mara 5 mkuu YAKUZ YAVUZaya em namie muamala usome
Mi nikajua upo hapa kutoa ushuhuda mkuuMashangazi yanaanza kukutesa mkuu.
Ingia Kwa Hawa kausha damu uchangamke kama Mimi kaka nilivyochangamshwa
Unajifanya unagawa utajiri Ili Hali unataka tukutajirisheHi ni mara ya pili natoa elimu ya Angel number lakini mod wamekua wakifuta kila siku its oky..
Leo natoa somo moja ambalo kama una roho nyepese usije jaribu hata kidogo.
Ikifika sa nane usiku jifungue chumbani kwako kama upo na mwenzako mwambie akupishe maana hilo jambo ni pasua kuchwa kidogo.
Baada ya hapo hakikisha ujavaa nguo zenye kukubana sana yaani uwe freely.
Katika hiko chumba hakikisha hakuna maji, chumvi wala kitana au chanuo.
Chukua simu yako kisha weka hii nyimbo kwa sauti kubwa sana kama una earphones vaa (Hoist the colour)
View attachment 3297278
Nyimbo hii inapoanza kuimba weww kuwa unasema haya maneno mara kwa mara
(YAKUZ, YAVUZ )
View attachment 3297527
Mda huo unakua umekaa chini ujaegemea popote pale. Baada ya nyimbo kuisha kwa kuwa uliweka repeated one mara ya pili acha kusema haya maneno ila sasa hvi sema chochote unachotaka kukiona mda huo unakua umefumba macho.
Nb unapoonza hakikisha unamaliza
nipo kibaruani af naogopa mkuuSema haya maneno mara 5 mkuu YAKUZ YAVUZ
Kitakacho fanyika hapo ni kuwa ubongo utapata hyperactivity hadi kushindwa kutofautisha reality and imaginations.
Matokeo yake kila kitacho fikiriwa na ubongo kitatafsiriwa kama reality while it'sn't.
Unajifanya unagawa utajiri Ili Hali unataka tukutajirishe
Sema kimoyo moyo mkuunipo kibaruani af naogopa mkuu
sawasawaSema kimoyo moyo mkuu
YAKUZ YAVUZSinaga tabia ya kufuatilia testimonies kuthibitha uhalisia wa jambo.