wakunyonya
JF-Expert Member
- Feb 5, 2024
- 877
- 2,113
Asante kaka nimefuata maagizo yko saiv wateja dukan wamejaa mpka nashindwa niaze kumhudumia yupi🤒hakika YAKUZ YANUZ
Mkuu tamalizia ngoja kwanza ila hapa naona kabisa wengi wanataka nimalizie ila naona kabisa nahitaji chochote kituKUTISHANA MKUU HUKU MALIZIA TU
Mkuu usilete joke kwa mambo ya imani unajua hata maana ya angelology wewe mpaka ukasema vile...Niwie radhi ndugu....mie ni mtu wa mizaha sipo siriaz kwa lolote ni ku joke joke tu 🙂
Wengi wamekasilika kwa kuishia njiani samahani sana wakuu naamini nitaendeleza kila.kitu ila sasa inabidi mchangie chochote kitu ili nipate motivation ya kutoa darasa 🙏🙏🙏🙏Nakazia hapa👿
Ndio mkuu jicho la rohoni👀👀👀
Acha kupotosha jamii hapa kuna watu wanafatilia mafundishoYavuz....YA + VUZI
Mkuu unaelewa lakini maana ya jicho la tatuTumekubaliana kua jicho la tatu liko ndani ya suruali zetu, hivyo sio kitu cha kufunguliwa kama unavyo taka mdau.
si matusi haya mkuuYAVUZ
YAKUZ na YAVUZ hayo ni majina ya malaika mkuu ambao wanakuwa usiku kugawa barakasi matusi haya mkuu
tusi hili
MwenyeweYAVUZ PRA YATA
tHIBITISHA MKUUtusi hili
Mama Prety kwanini unatafuta majanga mjini hapaMwenyewe
Mkuu kuwa na stara hapa jukwaa la kuelimishana sio kutukana unaweza kutolewa hapa au unazani hayo maneno hayana maajabuUnaimba Yakuz Yavuz unashangaa Mavuz yanakua.
samahani mkuu mimi sio mfatil;iaji wa muvi ila unaweza nipa hinti kidogo mkuu maana YAKUZ NA YAVUZ Imeleta maajabu mjini leoYavuz Yule Wa Kwenye Sirizi Ya Kituruki Ya SOZ
hapo mkuu unaita mapepo na majini! Sio Malaika wa NuruMkuu katika situation yoyote hile taja haya majina YAKUZ YAVUZ
COMMENT BORA YA MWAKA AHSANTE MKUUAsante kaka nimefuata maagizo yko saiv wateja dukan wamejaa mpka nashindwa niaze kumhudumia yupi🤒hakika YAKUZ YANUZ
Eh nisamehe bwana usinijie usiku nalala peke yanguMama Prety kwanini unatafuta majanga mjini hapa