non of them..It is unfair naming it as 'A Holy Family'. Who is holy among them- the father, the mother or the son?
Kuna watanzania wanafikiri hawa mafisadi wa migongo ya watanzania ni special sana kuliko 43milioni tanzanians. Kikwete na familia yeake wanafikiri wao wanaakili sana na walizaliwa kuchukua kila kitu kuanzia madini mpaka mashamba na mikataba yote ya serikali. Mimi naona niishie hapa, sina shida hivyo ila wengi tunafurahi na kuishi maisha ya kufanya kazi na kulipwa kwa jasho lako. Ndugu wengi na tunaowengi sana mikoani na vijijini wanateseka kwa ajili ya hii familia. Tuwakumbuke wote hasa wale wafiwa Arusha na sasa Tarime kwa kutafuta maisha kwa kila hali na mali.
What a killing this is? jk anafurahi sana kusomesha watoto wake ila hawa wote hawana haki ya elimu, hongera jk na familia zenu
Bmw=baba mama na watoto (falsafa mpya ya urais tanzania)
hii sio familia takatifu........rekebihsa na usirudie tena