Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,923
- 31,166
Kati ya mambo ya maana katika budget hii ni kupunguzwa kwa faini za barabarani.
Hii Tsh. 10,000 ndio tulikuwa tunawahonga askari wa barabarani, sasa naandaa Tsh. 2,000 wakigoma kupokea nawaambia tena kwa kiburi kikubwa kinachoambata na madoido nipatieni hicho kirisiti nitalipa mbele ya safari.
Haaaaa haaaaa mwendazake anaondoka na mambo mengi si mchezo.
Hii Tsh. 10,000 ndio tulikuwa tunawahonga askari wa barabarani, sasa naandaa Tsh. 2,000 wakigoma kupokea nawaambia tena kwa kiburi kikubwa kinachoambata na madoido nipatieni hicho kirisiti nitalipa mbele ya safari.
Haaaaa haaaaa mwendazake anaondoka na mambo mengi si mchezo.