The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
The following user The Finest says thank you to Blaki Womani for this useful postvijana wapungeze Muda/feza za kuendekeza heshima bar ...... sio unapofika kustaafu unakuwa ombaomba wakati ulikuwa na nafasi nzuri ya kujihakikishia maisha mazuri ya baadae.... hakuna ajuaye atafikisha umri gani isipokuwa aliye juu...... ni bora kujiandaa kuliko kuona hautafika umri fulani je ukifika na ulichemsha itakuwaje? ndio mwanzo wa kusumbua wale waliojiwekea mafao ya uzeeni