CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 687
Naona huyu ndugu yetu (mosquito...sorry Mbu) anajitafutia ugonjwa wa moyo...Kwa bongo mambo yanaenda kwa Vodafasta tu...Unahangaika nini na watu hao au mambo hayo? Mla mla leo bwana!!
Yaani Mbu huyu, sijui nimwitaje tena?