Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Nakubaliana na wewe lakini wengine wanapitiliza.....wanajisahau wanaona hapo ndio mwisho
hao wa kujisahau wapo ndugu yangu, tunawaona wengi tu but nadhani inategemeana na ulipotokea, kwa lyfe nililotokea mie kujisahau itakuwa ngumu sana tena sana....