Mkuu ni wazo zuri sana. Ila ninavyo jua mimi ghalama za matangazo kwenye majarida zinategemeana na mambo mengi sana.
1.ukubwa wa tangazo
2. Langi
3.page lilipo kama ni nje ya jarida ndani au nyuma
4.eneo gazeti linapo sambazwa
So unaweza anzisha kwa kutafuta makampuni ambayo utakiwa unayatangazia bidhaa au huduma yao. Na ni vizuti gazeti likawa na makara zingine ili ku jtia wasomaji na ni lazima utafute njia nzuri za kusambaza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.