Machepele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2019
- 289
- 420
Leo nitakuwa mtomvu wa nidhamu sitaanza na salamu kama nilivyozoeleka.
Swali langu:
a). Biashara ya magazine (majarida ya matangazo ya baishara) inaweza kufanyika kwa mtaji wa shilingi ngapi?
b). Ni nini cha kuzingatia kwenye hii biashara?
c). Rates za tangazo zinapatokana vipi?.
Kama kuna mtu anauzoefu na biashara hii naomba mwongozo tafadhali.
Machepele
Kwa sasa: Mwanza.
Swali langu:
a). Biashara ya magazine (majarida ya matangazo ya baishara) inaweza kufanyika kwa mtaji wa shilingi ngapi?
b). Ni nini cha kuzingatia kwenye hii biashara?
c). Rates za tangazo zinapatokana vipi?.
Kama kuna mtu anauzoefu na biashara hii naomba mwongozo tafadhali.
Machepele
Kwa sasa: Mwanza.