Siku hizi watu wanajali maiti zaidi kuliko aliyepo hai. Tatizo ni nini?

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,289
21,475
Kuna jamaa tulikuwa tunamtibu hapa alivunjika. Ametibiwa amepaona lakini ndugu walikuwa hawaji kumuona Wala kulipa madeni. Pigiwa simu hawaji.

Deni limeongezeka mpka kulipika ni shida.Jamaa akamuambia daktari, wapigie simu ndugu zangu waambie nimekufa.

Waje wachukue maiti.
Simu ikapigwa

Ndugu wamepokea.
He, amekufa!!? Basi tunakuja baba!!

Baada ya siku 2 wamekuja na jeneza na gari wamekodi.
Kwenda wodini wakapewa faili.
Kalipieni madeni tuwape kibali mkachukue mwili wa marehemu.

Wakaenda uhasibu wakalipa madeni. Wamerudi wodini na risiti wakamkuta jamaa amekaa kwenye benchi anawasubiri.!!
Wakaangua kilio Tena.


Jamaa likawaambia, si mlitaka nifie huku huku. Nimefufuka Sasa.Twendeni nyumbani Sasa tukamalizane huko huko.


Just imagine, mtu katibiwa na kupona ndugu hawaji kumsalimia Wala kulipa gharama.

Walipoambiwa amefariki wakapata pesa za kukodi gari, kununua jeneza na kulipa gharama za hospitali.

Ina maana Hawa watu walikuwa wanaithamini zaidi maiti wanayoenda kuizika kuliko mtu aliye hai.

Hata Kama ndugu yako Ana mapungufu kiasi gani, uhai wake ni muhimu zaidi.

Thamini ndugu yako akiwa hai.
sent as received
 
We mleta mada unamawazo gani kwa hili swala,? Ulivyofanya utafiti ungewauliza waumhusika tupate kujua.
 
We mleta mada unamawazo gani kwa hili swala,? Ulivyofanya utafiti ungewauliza waumhusika tupate kujua.
Ni kwasbabu ya roho mbaya ya ndugu zetu siku hizi ndo maana wanapenda maiti kuliko ulioko hai.
 
Kuna jamaa tulikuwa tunamtibu hapa alivunjika. Ametibiwa amepaona lakini ndugu walikuwa hawaji kumuona Wala kulipa madeni. Pigiwa simu hawaji.

Deni limeongezeka mpka kulipika ni shida.Jamaa akamuambia daktari, wapigie simu ndugu zangu waambie nimekufa.
Waje wachukue maiti.
Simu ikapigwa

Ndugu wamepokea.
He, amekufa!!? Basi tunakuja baba!!

Baada ya siku 2 wamekuja na jeneza na gari wamekodi.
Kwenda wodini wakapewa faili.
Kalipieni madeni tuwape kibali mkachukue mwili wa marehemu.

Wakaenda uhasibu wakalipa madeni. Wamerudi wodini na risiti wakamkuta jamaa amekaa kwenye benchi anawasubiri.!!
Wakaangua kilio Tena.


Jamaa likawaambia, si mlitaka nifie huku huku. Nimefufuka Sasa.Twendeni nyumbani Sasa tukamalizane huko huko.!!!

Just imagine, mtu katibiwa na kupona ndugu hawaji kumsalimia Wala kulipa gharama.
Walipoambiwa amefariki wakapata pesa za kukodi gari, kununua jeneza na kulipa gharama za hospitali.
Ina maana Hawa watu walikuwa wanaithamini zaidi maiti wanayoenda kuizika kuliko mtu aliye hai.
Hata Kama ndugu yako Ana mapungufu kiasi gani, uhai wake ni muhimu zaidi.

Thamini ndugu yako akiwa hai.
sent as received
Binadamu ndio nature yetu
 
Kuna jamaa tulikuwa tunamtibu hapa alivunjika. Ametibiwa amepaona lakini ndugu walikuwa hawaji kumuona Wala kulipa madeni. Pigiwa simu hawaji.

Deni limeongezeka mpka kulipika ni shida.Jamaa akamuambia daktari, wapigie simu ndugu zangu waambie nimekufa.
Waje wachukue maiti.
Simu ikapigwa

Ndugu wamepokea.
He, amekufa!!? Basi tunakuja baba!!

Baada ya siku 2 wamekuja na jeneza na gari wamekodi.
Kwenda wodini wakapewa faili.
Kalipieni madeni tuwape kibali mkachukue mwili wa marehemu.

Wakaenda uhasibu wakalipa madeni. Wamerudi wodini na risiti wakamkuta jamaa amekaa kwenye benchi anawasubiri.!!
Wakaangua kilio Tena.


Jamaa likawaambia, si mlitaka nifie huku huku. Nimefufuka Sasa.Twendeni nyumbani Sasa tukamalizane huko huko.!!!

Just imagine, mtu katibiwa na kupona ndugu hawaji kumsalimia Wala kulipa gharama.
Walipoambiwa amefariki wakapata pesa za kukodi gari, kununua jeneza na kulipa gharama za hospitali.
Ina maana Hawa watu walikuwa wanaithamini zaidi maiti wanayoenda kuizika kuliko mtu aliye hai.
Hata Kama ndugu yako Ana mapungufu kiasi gani, uhai wake ni muhimu zaidi.

Thamini ndugu yako akiwa hai.
sent as received
Hv vitu vipo kweli.
 
Huwa tunajali sana yasiyokuwa na maana kuliko yenye maana. Mfano ukiwaambia watu wakuchangie umsomeshe mtoto (kitu ambacho kuna manufaa ya muda mrefu) hawatachanga ila wapo tayari kuchangia sherehe (furaha ya muda mfupi)
 
Kuna jamaa tulikuwa tunamtibu hapa alivunjika. Ametibiwa amepaona lakini ndugu walikuwa hawaji kumuona Wala kulipa madeni. Pigiwa simu hawaji.

Deni limeongezeka mpka kulipika ni shida.Jamaa akamuambia daktari, wapigie simu ndugu zangu waambie nimekufa.
Waje wachukue maiti.
Simu ikapigwa

Ndugu wamepokea.
He, amekufa!!? Basi tunakuja baba!!

Baada ya siku 2 wamekuja na jeneza na gari wamekodi.
Kwenda wodini wakapewa faili.
Kalipieni madeni tuwape kibali mkachukue mwili wa marehemu.

Wakaenda uhasibu wakalipa madeni. Wamerudi wodini na risiti wakamkuta jamaa amekaa kwenye benchi anawasubiri.!!
Wakaangua kilio Tena.


Jamaa likawaambia, si mlitaka nifie huku huku. Nimefufuka Sasa.Twendeni nyumbani Sasa tukamalizane huko huko.!!!

Just imagine, mtu katibiwa na kupona ndugu hawaji kumsalimia Wala kulipa gharama.
Walipoambiwa amefariki wakapata pesa za kukodi gari, kununua jeneza na kulipa gharama za hospitali.
Ina maana Hawa watu walikuwa wanaithamini zaidi maiti wanayoenda kuizika kuliko mtu aliye hai.
Hata Kama ndugu yako Ana mapungufu kiasi gani, uhai wake ni muhimu zaidi.

Thamini ndugu yako akiwa hai.
sent as received
Copied thread

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa tunajali sana yasiyokuwa na maana kuliko yenye maana. Mfano ukiwaambia watu wakuchangie umsomeshe mtoto (kitu ambacho kuna manufaa ya muda mrefu) hawatachanga ila wapo tayari kuchangia sherehe (furaha ya muda mfupi)
Jamii zisio jali maendeleo ndo chazo cha umasikini kwetu hapo, misiba tunajazano kwenye harambee za kutegeneza vyazo vya maji hatuendi.
 
Kuna jamaa tulikuwa tunamtibu hapa alivunjika. Ametibiwa amepaona lakini ndugu walikuwa hawaji kumuona Wala kulipa madeni. Pigiwa simu hawaji.

Deni limeongezeka mpka kulipika ni shida.Jamaa akamuambia daktari, wapigie simu ndugu zangu waambie nimekufa.
Waje wachukue maiti.
Simu ikapigwa

Ndugu wamepokea.
He, amekufa!!? Basi tunakuja baba!!

Baada ya siku 2 wamekuja na jeneza na gari wamekodi.
Kwenda wodini wakapewa faili.
Kalipieni madeni tuwape kibali mkachukue mwili wa marehemu.

Wakaenda uhasibu wakalipa madeni. Wamerudi wodini na risiti wakamkuta jamaa amekaa kwenye benchi anawasubiri.!!
Wakaangua kilio Tena.


Jamaa likawaambia, si mlitaka nifie huku huku. Nimefufuka Sasa.Twendeni nyumbani Sasa tukamalizane huko huko.!!!

Just imagine, mtu katibiwa na kupona ndugu hawaji kumsalimia Wala kulipa gharama.
Walipoambiwa amefariki wakapata pesa za kukodi gari, kununua jeneza na kulipa gharama za hospitali.
Ina maana Hawa watu walikuwa wanaithamini zaidi maiti wanayoenda kuizika kuliko mtu aliye hai.
Hata Kama ndugu yako Ana mapungufu kiasi gani, uhai wake ni muhimu zaidi.

Thamini ndugu yako akiwa hai.
sent as received
Ndivyo maisha yalivyo. Just yesterday nilikuwa nachat na mama fulani anaumwa ana tatizo la kuganda damu inabidi achome sindano kila siku sindano 5000. Akawa anasema wadogo zake aliotumia maisha yake yote kuwasomesha wamepata kazi lakini hakuna nayemjali ameomba wachange walau apate 15000 ya kwenda hospital siku 3 kila mmoja anasema hana pesa wakati anaona status zao wametoka weekend kila mmoja na familia yake.
Akamalizia kwa kusema ila najua nikifa watanunua jeneza la bei mbaya na sale watashona.
 
Labda huyo ndugu aliyepata ajali alikua ni kivuruge kwenye familia maana kwa hali ya kawaida haiwezekani ndugu wote wakususe ukiwa hospital

Japo nao wamezingua kumtelekeza ndugu yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom