Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,754
- 3,392
Anadai anaona soni
Anataka taa zote za humu chumbani eti zizimwe
Ndio, zizimwe kabisa, tubaki kwenye giza tii ndo yeye avue nguo
Yani hata TV izimwe maana na yenyewe ina mwanga, na yeye hautaki
Wakuu hii maana yale nini? maana namimi sielewielewi hapa
Anataka taa zote za humu chumbani eti zizimwe
Ndio, zizimwe kabisa, tubaki kwenye giza tii ndo yeye avue nguo
Yani hata TV izimwe maana na yenyewe ina mwanga, na yeye hautaki
Wakuu hii maana yale nini? maana namimi sielewielewi hapa