Faida ya kula Bamia

Faida ya kula Bamia

Bamia pia ni dawa nzuri kwa wenye vidonda vya tumbo au gesi kujaa tumboni, katakata, chemsha kidogo lisiive kunywa chap au blend na maziwa kunywa (kama roho ndogo huwezi hii), wengine huzila mbichi kama snack
 
mkuu zile Laza na limao.kunywa kama maji zikitoka pika yale maji hata hauna nyege zinakuja automatic na nguvu za nanii weka na karafuu ye.maji acha masaa mawili njoo nipen ushuhuda
 
Faida za kula bamia:
  • Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini (nzuri kwa wagonjwa wa kisukari)
  • Ina nyuzinyuzi nyingi (fiber) zinazosaidia mmeng'enyo wa chakula na kuzuia choo kigumu
  • Husaidia kupunguza lehemu (cholesterol) mbaya mwilini
  • Ina vitamini C nyingi zinazoimarisha kinga ya mwili
  • Ina vitamini K muhimu kwa kuganda kwa damu na afya ya mifupa
  • Ina antioxidants zinazolinda seli za mwili dhidi ya uharibifu
  • Husaidia afya ya moyo kwa kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo
  • Ina asidi ya folic muhimu kwa wajawazito (huzuia matatizo ya uti wa mgongo kwa mtoto)
  • Kiwango kidogo cha kalori, hivyo nzuri kwa udhibiti wa uzito
  • Ina madini kama potassium, magnesium, na calcium
  • Husaidia kuboresha afya ya ngozi
  • Ina uwezo wa kupunguza uvimbe mwilini (anti-inflammatory)
Asante mkuu! ila ungeweka na madhara yake ingependeza.
 
m toka January maji yangu

HHata nionje ile kitu iligeuzwa maji kuwaa....
Lazima asbh ninywe na jion mapema
 
Unablend na maziwa??
Yes yes, maziwa fresh glass moja unablend na bamia hata 5 hivi asubuhi kabla hujala chochote, siku za mwanzoni utasumbua sana huo mchanganyiko kushuka kooni ila ukizoea na ukaweka huo uratatibu kwa miezi miwili unapata nafuu kubwa au kupona kabisa.
 
Yes yes, maziwa fresh glass moja unablend na bamia hata 5 hivi asubuhi kabla hujala chochote, siku za mwanzoni utasumbua sana huo mchanganyiko kushuka kooni ila ukizoea na ukaweka huo uratatibu kwa miezi miwili unapata nafuu kubwa au kupona kabisa.
Shukran mkuu nitajaribu Roho ngumu ninayo
 
Faida za kula bamia:
  • Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini (nzuri kwa wagonjwa wa kisukari)
  • Ina nyuzinyuzi nyingi (fiber) zinazosaidia mmeng'enyo wa chakula na kuzuia choo kigumu
  • Husaidia kupunguza lehemu (cholesterol) mbaya mwilini
  • Ina vitamini C nyingi zinazoimarisha kinga ya mwili
  • Ina vitamini K muhimu kwa kuganda kwa damu na afya ya mifupa
  • Ina antioxidants zinazolinda seli za mwili dhidi ya uharibifu
  • Husaidia afya ya moyo kwa kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo
  • Ina asidi ya folic muhimu kwa wajawazito (huzuia matatizo ya uti wa mgongo kwa mtoto)
  • Kiwango kidogo cha kalori, hivyo nzuri kwa udhibiti wa uzito
  • Ina madini kama potassium, magnesium, na calcium
  • Husaidia kuboresha afya ya ngozi
  • Ina uwezo wa kupunguza uvimbe mwilini (anti-inflammatory)
Ongeza;Husaidia na kulegea na kushindwa bila shuruti kwa akina bibie!
 
Hapanaa huuhuu mkuu kwa kuanzia weka

karafuu l chukua mkono umejaa weka kwa dumu ..kama una bamia unachanganya Ltr5 ikae sikutatu tunywe hayo maji kama maji yakunywa inasaidia mengi sana
 
Hapanaa huuhuu mkuu kwa kuanzia weka

karafuu l chukua mkono umejaa weka kwa dumu ..kama una bamia unachanganya Ltr5 ikae sikutatu tunywe hayo maji kama maji yakunywa inasaidia mengi sana
Hayawezi yakaharbika?? Kwa hizo siku zote
 
Faida za kula bamia:
  • Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini (nzuri kwa wagonjwa wa kisukari)
  • Ina nyuzinyuzi nyingi (fiber) zinazosaidia mmeng'enyo wa chakula na kuzuia choo kigumu
  • Husaidia kupunguza lehemu (cholesterol) mbaya mwilini
  • Ina vitamini C nyingi zinazoimarisha kinga ya mwili
  • Ina vitamini K muhimu kwa kuganda kwa damu na afya ya mifupa
  • Ina antioxidants zinazolinda seli za mwili dhidi ya uharibifu
  • Husaidia afya ya moyo kwa kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo
  • Ina asidi ya folic muhimu kwa wajawazito (huzuia matatizo ya uti wa mgongo kwa mtoto)
  • Kiwango kidogo cha kalori, hivyo nzuri kwa udhibiti wa uzito
  • Ina madini kama potassium, magnesium, na calcium
  • Husaidia kuboresha afya ya ngozi
  • Ina uwezo wa kupunguza uvimbe mwilini (anti-inflammatory)
Sijasoma uzi ila kama haiongezi nguvu za kiume basi hiyo haifai kwa mwanaume.

tuwaachie wanawake tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom