Faida ya kula Bamia

Faida ya kula Bamia

Okra soup..
Nigerians huwa wanazichanganya na nyama ama samaki..
 
Faida za kula bamia:
  • Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini (nzuri kwa wagonjwa wa kisukari)
  • Ina nyuzinyuzi nyingi (fiber) zinazosaidia mmeng'enyo wa chakula na kuzuia choo kigumu
  • Husaidia kupunguza lehemu (cholesterol) mbaya mwilini
  • Ina vitamini C nyingi zinazoimarisha kinga ya mwili
  • Ina vitamini K muhimu kwa kuganda kwa damu na afya ya mifupa
  • Ina antioxidants zinazolinda seli za mwili dhidi ya uharibifu
  • Husaidia afya ya moyo kwa kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo
  • Ina asidi ya folic muhimu kwa wajawazito (huzuia matatizo ya uti wa mgongo kwa mtoto)
  • Kiwango kidogo cha kalori, hivyo nzuri kwa udhibiti wa uzito
  • Ina madini kama potassium, magnesium, na calcium
  • Husaidia kuboresha afya ya ngozi
  • Ina uwezo wa kupunguza uvimbe mwilini (anti-inflammatory
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom