Faida na hasara kwenye makundi ya WhatsApp

Faida na hasara kwenye makundi ya WhatsApp

Nilianza kutumia WhatsApp mwaka 2015
Hapo sawa mkuu bado ugeni upo kiasi,kuna wengine walianza miaka ya nyuma kidogo kabla hata ya whatsaap kwa hio mitandao ilishawachosha.

Na wala si intend to offence you but maana yangu ni kwamba baada ya muda flani utaichoka hio mitandao na hayo ma group yatakufa "natural death" mkuu.
 
Hapo sawa mkuu bado ugeni upo kiasi,kuna wengine walianza miaka ya nyuma kidogo kabla hata ya whatsaap kwa hio mitandao ilishawachosha.

Na wala si intend to offence you but maana yangu ni kwamba baada ya muda flani utaichoka hio mitandao na hayo ma group yatakufa "natural death" mkuu.
Hakuna hoja wala mantiki uliyo andika ya maana zaidi ya kuandika kama mtu tu wa mtaani usiojua nini technology, information, network

Soma hoja niliyoandika mimi hata umrete mtu gani dunia mzima lazima akubali sasa wewe unaandika nini apa nahisi jf upo kwa baati mbaya
 
Hakuna hoja wala mantiki uliyo andika ya maana zaidi ya kuandika kama mtu tu wa mtaani usiojua nini technology, information, network

Soma hoja niliyoandika mimi hata umrete mtu gani dunia mzima lazima akubali sasa wewe unaandika nini apa nahisi jf upo kwa baati mbaya
Umrete=Umlete
Apa=Hapa
Baati=Bahati

Sawa mimi ni mtu wa mtaani na niko hapa JF kwa bahati mbaya.

Ila wewe "MSOMI" jifunze kwanza kuandika vizuri lugha adhimu ya Kiswahili then njoo tena tuendelee na mazungumzo.
 
Umrete=Umlete
Apa=Hapa
Baati=Bahati

Sawa mimi ni mtu wa mtaani na niko hapa JF kwa bahati mbaya.

Ila wewe "MSOMI" jifunze kwanza kuandika vizuri lugha adhimu ya Kiswahili then njoo tena tuendelee na mazungumzo.
Niko hapa na naweza kusimama na wewe kokote hivi umepitia nilichokiandika au unaandika andika, rejelea nini nimekieleza kuusu umuhimu wa group za WhatsApp au hauna uwezo wa kuchambua logic ukaelewa nahisi ujawai kufika chuo kwasababu ungefika ungejua WhatsApp ni nini watu wanakosa Quiz kisa ajapata taarifa, mwanafunzi anakosa taarifa muulize mwanachuo unayeishi naye akwambie WhatsApp ni kitu gani kama ataongea upuuzi na yeye ata kuwa mpuuzi tu
 
Yanaharibu ndoa tu,unakuta Baba ana kundi na familia yake na Mama ana kundi la familia yake and no one has an authority to read someone else messages,na mtu akimaliza kuchat anafuta baadhi ya messages ambazo anajua zinaweza kuleta mgogoro kwenye nyumba na bahati mbaya akisahau kufuta mwenzake akasoma vumbi linatimka...
 
Umrete=Umlete
Apa=Hapa
Baati=Bahati

Sawa mimi ni mtu wa mtaani na niko hapa JF kwa bahati mbaya.

Ila wewe "MSOMI" jifunze kwanza kuandika vizuri lugha adhimu ya Kiswahili then njoo tena tuendelee na mazungumzo.
Kwa kujiunga kwako jf eshima tosha kwamba unajua kutumia mtandao kwa matumizi yenye faida ila ulichokiandika hapa sijaona umuhimu wa wewe kuwa ata humu jf itakuwa unafuatia udaku tu
 
Nimejaribu kuku pinia baadhi tu ya group zangu zenye uwezo wa kukaa kwenye screenshot moja sasa wewe ambaye unashinda kwenye magrupu ya udaku na umbea arafu ni matatizo yako arafu unakuja kuisema WhatsApp uwo ni uboya

Nina mkubali sana ONTARIO kuna usemi wake anasema information na network ni kila kitu kama ujasiriamali ili uweze utimize Marengo yako sasa nashangaa mtu unajiita great thinker unaandika ujinga apa kama unaamini katika taarifa na network unawezaje ku undermine power ya WhatsApp, jamiiforums,Google

NB: you have long way to go nakwambia ukiwa umeniuzi apa ungekuwa karibu yangu ningekukata kibao

Screenshot_2018-03-12-15-13-05.png
 
Niko hapa na naweza kusimama na wewe kokote hivi umepitia nilichokiandika au unaandika andika, rejelea nini nimekieleza kuusu umuhimu wa group za WhatsApp au hauna uwezo wa kuchambua logic ukaelewa nahisi ujawai kufika chuo kwasababu ungefika ungejua WhatsApp ni nini watu wanakosa Quiz kisa ajapata taarifa, mwanafunzi anakosa taarifa muulize mwanachuo unayeishi naye akwambie WhatsApp ni kitu gani kama ataongea upuuzi na yeye ata kuwa mpuuzi tu
Rejelea=Rejea
Kuusu=Kuhusu
Ujawai=Hujawahi
Ajapata=Hajapata
Ata=Hata.

Kwanza nakubali unaweza kusimama popote na mimi na ukanishinda kwa kila kitu yaani inshort wewe kwangu nakuchukulia unajua kila kitu kuhusu technology&information BIG UP SANA BOSS.

By the way mimi hata chuo sikufika mkuu wangu so naomba uendelee kunipa ma "QUIZ" ya huko chuoni kwenu nijue ni kitu gani hicho unaongelea mkuu.

Lkn wewe Msomi wa "CHUO na ma QUIZ" unawaangusha sana wasomi wenzio.

Sisi huku wa mtaani/tusiowasomi tunashangaa unaandika nini mkuu.

Huko kwenye mitandao mnafundishwa kuandika kiswahili cha aina hii?
 
Rejelea=Rejea
Kuusu=Kuhusu
Ujawai=Hujawahi
Ajapata=Hajapata
Ata=Hata.

Kwanza nakubali unaweza kusimama popote na mimi na ukanishinda kwa kila kitu yaani inshort wewe kwangu nakuchukulia unajua kila kitu kuhusu technology&information BIG UP SANA BOSS.

By the way mimi hata chuo sikufika mkuu wangu so naomba uendelee kunipa ma "QUIZ" ya huko chuoni kwenu nijue ni kitu gani hicho unaongelea mkuu.

Lkn wewe Msomi wa "CHUO na ma QUIZ" unawaangusha sana wasomi wenzio.

Sisi huku wa mtaani/tusiowasomi tunashangaa unaandika nini mkuu.

Huko kwenye mitandao mnafundishwa kuandika kiswahili cha aina hii?
Usomi ni nini wewe usiniambie kuhusu usomi mie unazungumzia usomi kwa maisha ya sasahivi
 
Rejelea=Rejea
Kuusu=Kuhusu
Ujawai=Hujawahi
Ajapata=Hajapata
Ata=Hata.

Kwanza nakubali unaweza kusimama popote na mimi na ukanishinda kwa kila kitu yaani inshort wewe kwangu nakuchukulia unajua kila kitu kuhusu technology&information BIG UP SANA BOSS.

By the way mimi hata chuo sikufika mkuu wangu so naomba uendelee kunipa ma "QUIZ" ya huko chuoni kwenu nijue ni kitu gani hicho unaongelea mkuu.

Lkn wewe Msomi wa "CHUO na ma QUIZ" unawaangusha sana wasomi wenzio.

Sisi huku wa mtaani/tusiowasomi tunashangaa unaandika nini mkuu.

Huko kwenye mitandao mnafundishwa kuandika kiswahili cha aina hii?
Kumbe nabishana na baraza la kiswahili tanzania sikujua
 
Kwa kujiunga kwako jf eshima tosha kwamba unajua kutumia mtandao kwa matumizi yenye faida ila ulichokiandika hapa sijaona umuhimu wa wewe kuwa ata humu jf itakuwa unafuatia udaku tu
Bwana mdogo wengine wameanza kutumia simu humu enzi za Java OS,Symbian OS wewe umeanza kujifunza kutumia simu enzi hizi za android,lkn bado unajiona mjanjaaa

Enzi hiyo watu wako bize na Yahoo,Hi 5,The Grid,Peperonite,Ze utamu etc nadhani wewe bado wazazi wako walikua wanakulipia school fees ya primary standard 3 labda au ulisoma zile shule za ada bure?

Take a Chill Pill,still an underdog...
 
Kwa kujiunga kwako jf eshima tosha kwamba unajua kutumia mtandao kwa matumizi yenye faida ila ulichokiandika hapa sijaona umuhimu wa wewe kuwa ata humu jf itakuwa unafuatia udaku tu
Eshima=Heshima
Ata=Hata

Go back to school dude...
 
Nimejaribu kuku pinia baadhi tu ya group zangu zenye uwezo wa kukaa kwenye screenshot moja sasa wewe ambaye unashinda kwenye magrupu ya udaku na umbea arafu ni matatizo yako arafu unakuja kuisema WhatsApp uwo ni uboya

Nina mkubali sana ONTARIO kuna usemi wake anasema information na network ni kila kitu kama ujasiriamali ili uweze utimize Marengo yako sasa nashangaa mtu unajiita great thinker unaandika ujinga apa kama unaamini katika taarifa na network unawezaje ku undermine power ya WhatsApp, jamiiforums,Google

NB: you have long way to go nakwambia ukiwa umeniuzi apa ungekuwa karibu yangu ningekukata kibao

View attachment 712486
Arafu=Halafu
Uwo=Huo
Apa=Hapa
Marengo=Malengo

We chalii utakuja kukata makofi baba zako huku kwenye mitandao,hebu subiri QUIZ na LOAN BOARD ikuweke hela ukanunue bando ucheki hayo ma group yako.
 
Back
Top Bottom