October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,632
- 5,023
Tupa iyo simu yako bora uwe na batani tu atakama ulianza kutumia tokea duniani imeumbwaBwana mdogo wengine wameanza kutumia simu humu enzi za Java OS,Symbian OS wewe umeanza kujifunza kutumia simu enzi hizi za android,lkn bado unajiona mjanjaaa
Enzi hiyo watu wako bize na Yahoo,Hi 5,The Grid,Peperonite,Ze utamu etc nadhani wewe bado wazazi wako walikua wanakulipia school fees ya primary standard 3 labda au ulisoma zile shule za ada bure?
Take a Chill Pill,still an underdog...