hili jamaa kwel mapengo loo....!!
Kwa hapo naamini sio mapengo tena bali ni KIBOGOYO.
Haya basi mruhusu Mkeo au gal friend wako akapigwe nje upate hizo faida.
Hahahaha!!!!!!
Mzima wewe?
I like your brain.Mie mzima
I like your brain.
Hiyo ya namba 2 sio kweli mara nyingi inaapply kwa wanaume wale wasiotaka kuwapoteza wake zao. Mara nyingi waket wanaotoka nje ya ndoa zao hunogewa na kujisahau so hapo tegemea dharau zaidi ya mapenzi.