Faida 5 za mke kutembea nje ya ndoa

Faida 5 za mke kutembea nje ya ndoa

Duuu,unanikatisha tamaa ya kutangaza tenda ya kuoa!
 
Kwa hapo naamini sio mapengo tena bali ni KIBOGOYO.
 
Hivi watu humu mmekuaje?
Yani mnachukulia vitu kama umeambiwa mwenzi wako anachepuka.
Yani mnachukulia kwa hisia mno...!!
 
Hivi watu humu mmekuaje?
Yani mnachukulia vitu kama umeambiwa mwenzi wako anachepuka.
Yani mnachukulia kwa hisia mno...!!

Ni kwa sababu maslahi ya jinsia dume yameguswa...ni umimi tu unapanikisha watu
 
Akienda kwa mchepuko wake mwambie asisahau condom sawa
 
Back
Top Bottom