MVAA GWANDA
Member
- Nov 12, 2010
- 35
- 6
nilipata taabu mwanzoni nikihisi labda "dovutwa" ndo jina la chama...
Ndani ya umaskini huu ukaweke kiwanda cha bunduki....hata ujumbe wa nyumba kumi haumfai..
yaani alisumbua watu huyu na jina lake! Baada ya kutoka kupiga kura watu wanajiuliza mbona tulisikia kuna mwanamke anagombea urais anaitwa devota sasa kwenye fomu tumeona picha za wanaume tu? Kumbe halikueleweka, badala ya dovutwa ikawa devota!