Fahamu undani wa mnyama simba

Uzazi wa simba unapishana vip maana naona kama umri wao ni mfupi....na simBa anazaa akifikisha umri gani.....
Kwa kawaida simba huzaa mda wowote katika mwaka either mara moja au mbili na kuhusu umri wa kuzaa huanza kuzaa wakishafikisha umri wa miaka miwili lakini huanza kubalehe wakishafikisha miezi 18 na wakishabalehe watoto madume hufukuzwa kwenye ile family ili wakajitegemee lakini watoto majike hubaki kwenye ile family ili kuendeleza uzao
 
mm bado nahitaji kujua elimu zaidi ya simba inakuwaje simba wa buga za selegeti anapanda kwenye miti huku wale wa poli la akiba selou awapandi juu ebu nijuze mkuu
 
We nawe ndio huelewi kitu
 
Hii elimu imenifanya nimpende mnyama huyu, tatizo kuna timu moja ya matopeni inatumia jina hili, hicho ndicho nisichokipenda.
 
Lakini mbona Tembo wana ushirikiano saba na wanatembea kwenye makundi - hivi Simba wanaweza kuwa na ujasiri wa kumshambulia Tembo kweli?

Simba kwa kawaida hawashughuliki na tembo mkubwa, kwani kumkamata ni kama haiwezekani vile, labda huyo tembo awe mgonjwa au dhaifu kabisa.., mara nyingi wakitaka kuwinda tembo wanavizia watoto au ndama wa tembo japokuwa kuwakamata nao hao si kazi ndogo kabisa na hata simba wanalijua hilo.. Hivyo ni nadra sana kukuta simba wakishughulika nao....
 

Hii sehemu imenisisimua na kunisikitisha sana.[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Kwa maana hiyo wale mabinti hupandwa na baba zao?
 
Chanzo cha makala hii nzuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…