Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,060
Wasalaam!
Katika maisha yetu ya kila siku tuna uwepo wa Mungu na shetwani, na nyakati za kulala uwe mchana au usiku uwepo wa ibilisi na Mungu upo, hivyo basi tunao wenzetu ama sisi wenyewe, ambao mara nyingi au siku baadhi hupatwa na mikasa ya mazonge na vitu vibaya nyakati za kulala, na hii hujitokeza katika NDOTO hasa NDOTO mbaya.
Kwa muktasari huo naomba kuwajulisha, kuwapa kinga ama dawa isiyo na masharti yoyote wala vinasaba vya uchawi au shetwani.
Chukua kipande cha Mkaa weka ndani ya Mto/Pillow yako kisha lala, hio ndio dawa ya Ndoto mbaya, na nuksi zingine zinazo ambata nawe nyakati za kulala.
Inshallah ikawe heri Mungu awasaidie nyote muwe mnalala vizuri pasipo mazonge yoyote.
Wadiz katika afya na amani ya usingizi bila ndoto chafu.
Katika maisha yetu ya kila siku tuna uwepo wa Mungu na shetwani, na nyakati za kulala uwe mchana au usiku uwepo wa ibilisi na Mungu upo, hivyo basi tunao wenzetu ama sisi wenyewe, ambao mara nyingi au siku baadhi hupatwa na mikasa ya mazonge na vitu vibaya nyakati za kulala, na hii hujitokeza katika NDOTO hasa NDOTO mbaya.
Kwa muktasari huo naomba kuwajulisha, kuwapa kinga ama dawa isiyo na masharti yoyote wala vinasaba vya uchawi au shetwani.
Chukua kipande cha Mkaa weka ndani ya Mto/Pillow yako kisha lala, hio ndio dawa ya Ndoto mbaya, na nuksi zingine zinazo ambata nawe nyakati za kulala.
Inshallah ikawe heri Mungu awasaidie nyote muwe mnalala vizuri pasipo mazonge yoyote.
Wadiz katika afya na amani ya usingizi bila ndoto chafu.