Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Hapo nilitaka kukupa fact wewe ambaye hujaingia kwenye ndoa bado kuwa tunaona huruma tu kuweka wazi kuwa tuna sauti...te te te...lakini wanaume wengi hawafurukuti kwa wake zao...wanajitutumua mitaani tu kwa sababu ndio definition ya kuwa mwanaume...

Teh teh...kumbe eeh?
 
Teh teh hebu niambie hilo la kutengeneza mpenz
Cc DEMBA tinna cute

Limbwata hiyoooo

K iwe Tait a.k.a mnato ni limbwata tosha

Usiwe gogo kitandan onyesha ushikiriano kwa umpendae ukitoo....mb...wa too.........mbe.......ka sio mkavu kama kaukau alaaa

Mwanamke kauli babu,

Mwanamke usafi wa ndani na nje

Mwanamke mapishi ujue kupika bibi sio wali wauwekea ndimu mapishi gani hayoo

Penda ndugu zake waheshimu

Mengine utajiongeza sio kila kitu ufundishwe mengine huja automatik limbwata hilo
Cc Evelyn Salt njoo uongezee limbwata
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu Great thinkers.

Najua wapo watu ambao hawaamini kwamba katika mapenzi kuna kitu kinaitwa limbwata. Hata mimi nilikuwa siamini kabisa kuhusu hili suala lakini hivi karibuni nimeamini.

Nlikuwa naishi kwenye mkoa mmoja hivi miaka kama miwili au mitatu iliyopita.

Katika kijiji kile alikuwepo baba mmoja mwenye mke na watoto wanne.

Huyu baba alikuwa mtu wa heshima na pesa zake za kumtosha kubadilisha mboga....kifupi ni kwamba hakuwa na dhiki.
Mke wake sasa.....alikuwa ni kicheche balaa....alikuwa anagawa utadhani sio mke wa mtu. Ilifika hatua akawa anatoka na kijana mmoja jirani tu na nyumbani kwake na huyo kijana alikuwa na mkewe kabisa.

Basi ilikuwa yule kijana akimfuma yule mwanamke na mwanaume (hawara mwingine) anamshushia kipigo hadharani....siku nyingine kamdunda weee akamburuza hadi nyumbani kwake akafika getini kamsukumizia ndani....na mumewe yupo ndani!

Nilikuwa napata shida najiuliza hivi huyu baba ni mzima kweli? Maana katika kipindi chote sikuwahi kusikia ana mgogoro na huyo mkewe mzinzi.... Siwezi kusema hana akili timamu maana majukumu yake ya kiofisi alikuwa anayatekeleza vizuri kabisaa.

Eti wana MMU nisaidieni kama hili sio limbwata basi ni kitu gani? Siwezi kukubali kwamba eti ilikuwa ni ndoa ya kawaida hii.
Wewe mwenzangu huko mtaani kwako umewahi kukutana na matukio kama haya?

Limbwata ni kwa wanaume wa kihaya tu sisi wakurya tukila kichuri limbwata linakata kichapo kinaendelea
 
Lipo sana!nitofauti na kudata na mapenzi.kama mtu uliyekuwa unamjua Ana misimamo Fulani ya maisha,ghafla bin vuu kawa kondoo'haoni baya wala zuri,na hayuko kawaida teno.akili mkichwa
 
Pasco hebu tufafanulie hapa na dr MziziMkavu hapa vip?
LIMBWATA.jpg


Limbwata ni Dawa ya mapenzi Mwanamke anamfanyia Mume wake au mpenzi wake. Limbwata ni aina ya dawa Mke au Mwanamke anapewa na Mganga ili aweke kwenye Papuchi yake huyo Mwanamke kwa muda fulani kisha anammtilia Mume wake hiyo Dawa ndani ya chakula akila tu huyo mume anakuwa amelewa kimapenzi na anakuwa mume akili yake kama kondoo na anakuwa kila anachoambia na mke wake anamsikiliza. Hiyo ndio Maana ya Limbwata kwa Wakazi wa Mjini wa Tanga wanaijuwa hiyo dawa ya Limbwata. Dawa hiyo ninajuwa sana.
 
LIMBWATA.jpg


Limbwata ni Dawa ya mapenzi Mwanamke anamfanyia Mume wake au mpenzi wake. Limbwata ni aina ya dawa Mke au Mwanamke anapewa na Mganga ili aweke kwenye Papuchi yake huyo Mwanamke kwa muda fulani kisha anammtilia Mume wake hiyo Dawa ndani ya chakula akila tu huyo mume anakuwa amelewa kimapenzi na anakuwa mume akili yake kama kondoo na anakuwa kila anachoambia na mke wake anamsikiliza. Hiyo ndio Maana ya Limbwata kwa Wakazi wa Mjini wa Tanga wanaijuwa hiyo dawa ya Limbwata. Dawa hiyo ninajuwa sana.

Mkuu MziziMkavu ahsante kwa mchango wako! ANGALIZO tu hiyo ni moja ya aina ya LIMBWATA, bado zipo za aina nyingi sana! Ntarudi baadae kuongezea!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom