Fahamu kuhusu msukule

Fahamu kuhusu msukule

Mkuu huna ulijualo juu ya misukule,acha kuleta habari za kuokoteleza. Na kuwadanganya watu

Huwa iko hivi mtu baada ya kuuawa kishirikina kwa lengo la kuchukuliwa msukule huwa haendi kuzikwa kinacho zikwa huwa ni kitu eidha ya weza kuwa mbwa ,paka,punda nk, kwa watu wenye uwezo wa kuona huwa wanona live ,hata mnapo muaga marehemu huwa si yeye ni Jitu/ kitu tofauti,yeye huwa yupo sehemu kafichwa na hawezi kuongea na huwa anaona pilika zote zinavyofanyika na wakati mwingine huwaita ndugu zake lakini hawamsikii

Huwa kuna mwiko mmoja tu ambao ndugu wa marehemu kama wanahisi ndugu yao kachukuliwa kishirikina wakiufuata wachawi hushindwa kumchukua,nacho ni kutokulia,kwani katika ulimwengu wa kichawi unapomlilia mtu alochukuliwa kichawi husemekana kuwa mnashangilia na mnabariki tukio hili,so wewe mkuu unapotuambia habari za bakas huu ni uongo kabisa,I have experience with this mambos

Na kuna namna ambayo marehemu kiini macho hupakwa mafuta na huyo humfanya mtu alichukuliwa kichawi adhihilike ,maana wanachokuwa wameweka mbele pale huwa ni kiini macho tu,unaona ni binadamu kumbe ni kitu furani,ukimpaka hayo mafuta huyo mtu alichukuliwa kichawi hudhihilika live na kuonekana nini walichokuwa wameweka ,i

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu aliyekufa na ikapita siku moja na nusu mkawa mnafanya mazishi na damu ikaendelea kutoka puani inamaanisha Nini?
Inamaana kachukuliwa msukule au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acording to your narrative you are not the genuine narrator of the myth
 
Shusha nondo mzee yani Kuna msiba ulionihusu miaka ya nyuma wa mtu wa karibu. Sasa miaka imepita sasa less than four years Kuna maneno yameanza kusikika hapa. Na wanasema kipindi damu zilikuwa zinatoka puani. Na wanasema yupo. Sijaelewa hapa nahisi tukizungukwa fake death.
Mkuu utokaji wa damu puani na swala la msukule ni pana sana,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo sina elimu kubwa juu ya hili swala lakini nikitulia nitashea machache niyajuayo. Pole sana kwa msiba japo ni muda sasa.
Shusha nondo mzee yani Kuna msiba ulionihusu miaka ya nyuma wa mtu wa karibu. Sasa miaka imepita sasa less than four years Kuna maneno yameanza kusikika hapa. Na wanasema kipindi damu zilikuwa zinatoka puani. Na wanasema yupo. Sijaelewa hapa nahisi tukizungukwa fake death.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama haya mambo ni ya kweli basi maisha ya mwanadamu ni fumbo kubwa sana hasa katika nyanja ya kuishi, kufa na (ufufuo)

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ipo tofauti kubwa ya wazi kati ya ufufuo huu fake na wa Bwana Yesu.Katika ufufuo huu anaouigiza Shetani,unarudia jumba bovu la zamani.Katika ufufuo wa Bwana Yesu,unavikwa mwili mpya ambao haufi,
hau-ugui,hauna damu na nyama,hausikii njaa,hauna limitations za mwili wa damu na nyama kwa maana ya kwamba unaweza kwa mfano kupita ukutani,hausikii kiu wala usingizi,una possibilities of time travel nk.nk.

Tofauti nyingine ambayo ndiyo kubwa zaidi ni kwamba nia ya ufufuo huu fake ni kumtumikia mchawi,wakati ufufuo wa Bwana Yesu nia yake ni kuurithi ufalme wa mbinguni au kupata hukumu ya milele katika jehanam ya moto.Ana heri yeye atakayefufuliwa katika ufufuo wa kwanza na kumlaki Bwana Yesu mawinguni na hatimaye kuurithi ufalme wa mbinguni.
Mshana Jr.na Bubuji mtakuwa upande gani?

Mwisho naomba niwaulize akina Mshana Jr.na Bubuji.Najua kwamba baada ya kutaabishwa sana na mchawi,hatimaye msukule anakufa.Sasa baada ya kufa,nini kinatokea kwa mwili wake?Roho najua inamrudia Mungu.
 
Mkuu ipo tofauti kubwa ya wazi kati ya ufufuo huu fake na wa Bwana Yesu.Katika ufufuo huu anaouigiza Shetani,unarudia jumba bovu la zamani.Katika ufufuo wa Bwana Yesu,unavikwa mwili mpya ambao haufi,
hau-ugui,hauna damu na nyama,hausikii njaa,hauna limitations za mwili wa damu na nyama kwa maana ya kwamba unaweza kwa mfano kupita ukutani,hausikii kiu wala usingizi,una possibilities of time travel nk.nk.

Tofauti nyingine ambayo ndiyo kubwa zaidi ni kwamba nia ya ufufuo huu fake ni kumtumikia mchawi,wakati ufufuo wa Bwana Yesu nia yake ni kuurithi ufalme wa mbinguni au kupata hukumu ya milele katika jehanam ya moto.Ana heri yeye atakayefufuliwa katika ufufuo wa kwanza na kumlaki Bwana Yesu mawinguni na hatimaye kuurithi ufalme wa mbinguni.
Mshana Jr.na Bubuji mtakuwa upande gani?

Mwisho naomba niwaulize akina Mshana Jr.na Bubuji.Najua kwamba baada ya kutaabishwa sana na mchawi,hatimaye msukule anakufa.Sasa baada ya kufa,nini kinatokea kwa mwili wake?Roho najua inamrudia Mungu.
Kwa mantiki hiyo inaonesha kwamba pia Shetani naye ana uwezo kiasi fulani
'je kuchukua roho ya mwanadamu na kuivika mwili ili kumtumikia ni kwa hisani/uweza wa nani??
'je anayoyafanya mtu(msukule) chini ya mamlaka/utumikizi wa shetani, atakayekuja kuhukumiwa na M.Mungu ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upopoma, wakati huku kwetu watoto wa wanaoshinda kanisani ndo wanabebwa kichawi KIRAHISI sana!!!


Kizibo
Baelezee baba yesu mzungu hana mpango kabisa! kwanza hawatakaa wamuone akirudi mawinguni! kuokoka bila Elimu ni dhambi kubwa sana, wanakariri ya wachungaji vichaa! wanao ongea na mungu wanaomjua wao tu!,
 
Kwa mantiki hiyo inaonesha kwamba pia Shetani naye ana uwezo kiasi fulani
'je kuchukua roho ya mwanadamu na kuivika mwili ili kumtumikia ni kwa hisani/uweza wa nani??
'je anayoyafanya mtu(msukule) chini ya mamlaka/utumikizi wa shetani, atakayekuja kuhukumiwa na M.Mungu ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Shetani ana nguvu kiasi fulani,ila nguvu zake zinaishia mwilini tu,hana uwezo, wala mamlaka ya kuua roho.Halafu msukule anamtumikia mchawi,kazi ya jini ni kufanikisha tu matakwa ya mchawi kwa ujira.

Mwisho,Jini lililofanikisha matakwa ya mchawi,lenyewe lilishahukumiwa kwa kumuasi Mungu Mbinguni,linachosubiri ni kutekelezwa tu kwa hukumu yake.Kwa upande mwingine, Mchawi ndiye atakaye-hukumiwa kwa kitendo chake cha uchawi,labda atubie uovu wake na kumkiri Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake.Vinginevyo ataishia jehanam ya moto.Hata hivyo Mungu katika
Mathayo 10:28 anasema,

"Msiwaogope wale wauao mwili, lakini hawawezi kuiua roho. Afadhali zaidi kumwogopa yule awezaye kuuangamiza mwili pamoja na roho katika moto wa Jehanamu." Kwa hiyo wa kumuogopa ni Mungu tu,sio Mchawi wala Jini.
 
Back
Top Bottom