Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,091
Unataka kusema alikufa kuzikwa kisha akarejeshwa??Kuna maza angu mdogo alichukuliwa msukule.. kuna mtaalamu alifanikiwa kumrescue ila kumfanyia reverse transcription to condition yake ya awali na kumuachia uraiani ndo imekuwa mziki mwaka wa pili unakatika sasa
JE KUNA WATAALAMU WANAOWEZA KUREVERSE ENGINEER PROCESS NZIMA NA KUMCONVERT HUYO MTU KATIKA HALI YAKE YA KAWAIDA NA SOUL YAKE???
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mnaweza mkawa mnaishi na jitu ambalo hata siyo huyo ndugu yenu munayemdhania kwa kawaida shetani hawezi kumtoa shetani mwenzie
Sent using Jamii Forums mobile app
Muachieni mganga hilo dude la sivyo mtatumia pesa na msipate kitu, Mama angu alipofariki 2008 ndugu zangu walitumia pesa nyingi kwenye ujinga kama huohuo bila mafanikio
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww Ni mpumbavu namba 1.Acha upumbavu wewe, Mungu hunena wazi kuwa "yeye pekee ndiye mwenye mamlaka ya kutoa Watu roho wala si Mwanadamu.
Mathayo 10:28. "28 Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum."
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanashinda kanisani kama ulivyosema lkn huenda wakawa hawana Yesu ndani yao.Acha upopoma, wakati huku kwetu watoto wa wanaoshinda kanisani ndo wanabebwa kichawi KIRAHISI sana!!!
Kizibo
Ww Ni mpumbavu namba 1.
Mchawi Ni Mungu?? Mbona anaua? Au na huyo Mungu Ni mchawi anashurikiana na hao wanaowatoa watu misukule?
Kizibo
Kuna dawa ukipaka unamuona ,
Anaongea au walishamkata ulimi?Kuna maza angu mdogo alichukuliwa msukule.. kuna mtaalamu alifanikiwa kumrescue ila kumfanyia reverse transcription to condition yake ya awali na kumuachia uraiani ndo imekuwa mziki mwaka wa pili unakatika sasa
JE KUNA WATAALAMU WANAOWEZA KUREVERSE ENGINEER PROCESS NZIMA NA KUMCONVERT HUYO MTU KATIKA HALI YAKE YA KAWAIDA NA SOUL YAKE???
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!! kwahiyo wafu hawaziki wafu wenzao?Mkuu mnaweza mkawa mnaishi na jitu ambalo hata siyo huyo ndugu yenu munayemdhania kwa kawaida shetani hawezi kumtoa shetani mwenzie
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huna ulijualo juu ya misukule,acha kuleta habari za kuokoteleza. Na kuwadanganya watu
Huwa iko hivi mtu baada ya kuuawa kishirikina kwa lengo la kuchukuliwa msukule huwa haendi kuzikwa kinacho zikwa huwa ni kitu eidha ya weza kuwa mbwa ,paka,punda nk, kwa watu wenye uwezo wa kuona huwa wanona live ,hata mnapo muaga marehemu huwa si yeye ni Jitu/ kitu tofauti,yeye huwa yupo sehemu kafichwa na hawezi kuongea na huwa anaona pilika zote zinavyofanyika na wakati mwingine huwaita ndugu zake lakini hawamsikii
Huwa kuna mwiko mmoja tu ambao ndugu wa marehemu kama wanahisi ndugu yao kachukuliwa kishirikina wakiufuata wachawi hushindwa kumchukua,nacho ni kutokulia,kwani katika ulimwengu wa kichawi unapomlilia mtu alochukuliwa kichawi husemekana kuwa mnashangilia na mnabariki tukio hili,so wewe mkuu unapotuambia habari za bakas huu ni uongo kabisa,I have experience with this mambos
Na kuna namna ambayo marehemu kiini macho hupakwa mafuta na huyo humfanya mtu alichukuliwa kichawi adhihilike ,maana wanachokuwa wameweka mbele pale huwa ni kiini macho tu,unaona ni binadamu kumbe ni kitu furani,ukimpaka hayo mafuta huyo mtu alichukuliwa kichawi hudhihilika live na kuonekana nini walichokuwa wameweka ,i
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ina weze kana upo sahihi kwenye maelezo yako kwa kiwango flan,lakin hapo kwa jini anae itwa bakas juu ya kutumika kwenye kitendo hiki ni sawa maana nakumbuka marehem sheikh Yahya husein aliwai kumzu ngumzia kazi zake kipind kile anafanya nyota zenu pale channel ten "
Sent using Jamii Forums mobile app