Fahamu kuhusu msukule

Fahamu kuhusu msukule

Acha upopoma, wakati huku kwetu watoto wa wanaoshinda kanisani ndo wanabebwa kichawi KIRAHISI sana!!!


Kizibo

Usiropoke kama mtu asiye na maarifa, labda utuhakikishie kuwa wewe ndiyo mchawi huwa unaenda kuwabeba na kuwachezea...siyo unasimuliwa alafu unakuja kutuaminisha hapa.

Na pia suala la mtu kwenda sana kanisani au msikitini siyo kwamba huwa anaabudu sana Mungu, siku hizi hata wachawi huenda kusali kwa hiyo kama hilo kanisa/msikiti imani yao ni ndogo lazima watachezewa.

Na usijetupa mfano wa makanisa kama ya Kina Nabii Joe Davie sijui mwamposa hayo hamna kitu ni makanisa ya mafreemasoni wale wale wa kwao wanaodanganya watu kwa miujiza sijui ya mafuta,chumvi na maji ya upako ila ni ushetani mtupu mle
 
Usiropoke kama mtu asiye na maarifa, labda utuhakikishie kuwa wewe ndiyo mchawi huwa unaenda kuwabeba na kuwachezea...siyo unasimuliwa alafu unakuja kutuaminisha hapa.

Na pia suala la mtu kwenda sana kanisani au msikitini siyo kwamba huwa anaabudu sana Mungu, siku hizi hata wachawi huenda kusali kwa hiyo kama hilo kanisa/msikiti imani yao ni ndogo lazima watachezewa.

Na usijetupa mfano wa makanisa kama ya Kina Nabii Joe Davie sijui mwamposa hayo hamna kitu ni makanisa ya mafreemasoni wale wale wa kwao wanaodanganya watu kwa miujiza sijui ya mafuta,chumvi na maji ya upako ila ni ushetani mtupu mle
Ona hii nguruwe!!!!


Cha ajabu utakuta Eti na wewe una Demu/mwananmke!!!!!
 
NAOMBENI MBINU YA KUMUANGAMIZA MCHAWI

Nataka kuitimiza amri ya Mungu kwa Mtesi wa Familia yangu kwa kutumia Amri ya Mungu, (KUTOKA 22:18 "USIMWACHE MWANAMKE MCHAWI AISHI")

Sihitaji mzunguko wa Maneno mengi nahitaji Mbinu tu basi.

AU KAMA UNA MJUA MTU MWENYE UWEZO USIO BABAISHA WAKUNIONDOLEA MCHAWI HUYU NA ILI KUONESHA UWEZO AMUONDOE KWANZA NDIO APOKEE MALIPO

NAOMBA UJE INBOX KAMA UNA UWEZO HIJALISHI MBINU MUHIMU UNIONDOLEE TU MTU HUYU FAMILIA IBAKI SALAMA.
 
NAOMBENI MBINU YA KUMUANGAMIZA MCHAWI

Nataka kuitimiza amri ya Mungu kwa Mtesi wa Familia yangu kwa kutumia Amri ya Mungu, (KUTOKA 22:18 "USIMWACHE MWANAMKE MCHAWI AISHI")

Sihitaji mzunguko wa Maneno mengi nahitaji Mbinu tu basi.

AU KAMA UNA MJUA MTU MWENYE UWEZO USIO BABAISHA WAKUNIONDOLEA MCHAWI HUYU NA ILI KUONESHA UWEZO AMUONDOE KWANZA NDIO APOKEE MALIPO

NAOMBA UJE INBOX KAMA UNA UWEZO HIJALISHI MBINU MUHIMU UNIONDOLEE TU MTU HUYU FAMILIA IBAKI SALAMA.
Nunua panga kata ua
 
Msukule ni mtu ambaye anahesabiwa amekufa, lakini ukweli ni kuwa mtu huyo huwa amechukuliwa na Mchawi ili amtumie katika kazi zake maalum au amtumie katika mambo yake mengine anayoyataka.

Mchawi humfanya mtu huyo awe maiti au kama kitu kinachojiendesha chenyewe kikiwa kimekufa lakini hakijaoza wala hakiozi.

Mchawi kabla ya kumchukua mtu Msukule hufanya Mkataba Maalum na Jini anayeitwa “BAKAS” ili amsaidie katika kazi hiyo, na kuna Sadaka maalum ambayo hutoa kumlipa Jini huyo kama malipo ya kazi yake. Huyu Bakas ni Jini anayetawala siku ya Jumamosi.

Baada ya kukubaliana na Jini Bakas Mchawi huchagua mtu ambaye anataka kumchukua na akishampata huenda nyumbani kwa mtu huyo kinyume nyume mpaka anafika mlango wa mbele.

Anapofika mlangoni hunyonya roho ya mtu anayemtaka kwa kupitia tundu ya ufunguo na kama tundu hiyo haipo hutoboa tundu ndogo ambayo huiziba akimaliza kazi yake.

Baada ya kuipata roho anayoitaka huitia ndani ya chupa na kuziba chupa hiyo na kuondoka. Kazi hiyo hufanyika usiku wa manane kati ya saa nane na saa tisa usiku.

Siku inayofuata yule aliyechukuliwa roho yake huanza kuugua na hufa ghafla.

Baada ya Mazishi yule Mchawi huenda kaburini akiongozana na yule Jini Bakas ambaye hujigeuza kama babu kizee mwenye ndevu nyingi nyeupe ili kuuchukua ule mwili wa Marehemu.

Wanapofika makaburini yule Jini hukaa upande wa kichwani kwa maiti na mchawi hukaa upande wa miguuni na kila mmoja wao akifanya uchawi wake lakini kazi kubwa ya kumtoa maiti ndani ya kaburi kufanya na Jini.

Jini huomba kwa bidii na kunuiza Uchawi na husema maneno ya kichawi huku akimwaga juu ya kaburi majani ya Mkakaya (Acacia)

Mchawi yeye kwa upande wake husema maneno haya yafuatayo akirudia rudia “Mortoo tombo Mivi” maana yake ni kwamba “aliye ndani ya kaburi ni wangu”

Kwa nguvu za Uchawi mwili hutoka kaburini bila ya kaburi kuchimbwa na kusimama mbele yao na yule mchawi hukabidhiwa maiti huyo.

Baada ya kukabidhiwa kitu cha kwanza ambacho hufanya ni kwenda nyumbani na kumuonesha huyo ndugu zake kuona kama atawakumbuka.

Maiti huyo asipozinduka na kuwagundua ndugu zake au kutambua nyumbani kwao basi Mchawi hujua kwamba kazi imekuwa nzuri na hupelekwa nyumbani kwa mchawi.

Wakifika nyumbani Mchawi humrudishia yule Maiti roho ambayo aliiweka ndani ya chupa na kumnywesha dawa kali ambayo itamfanya asahau kabisa maisha yake yote ya nyuma yaliyopita na baada ya hapo maiti huyo atazinduka na kuwa Msukule.

Msukule ni binaadamu anayeishi lakini hana uhuru na anatumiwa kama mtumwa huku ndugu zake au jamaa zake wakijua kwamba amekufa.

Uchawi huu wa kuchukua Msukule ulianza miaka 500 na 1500 A.D. huko nchini Congo na Haiti na kuenea sehemu nyingi za Dunia.

James
James at February 15, 2020.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu dunia inakwenda kushuhudia ujio wa Misukule kwa kishindo.Inayoitwa chanjo ya C-19 nia yake ni kututanya Wanadamu wote tuwe Misukule mkuu.Ndani ya hiyo chanjo,kuna kitu kinaitwa "Software of life," ambacho ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.Hii software itaweza ku-reprogramme DNA ili ufanye "watawala" wanachotaka.Kwa ujumla ni kwamba ukishapata hii therapy au shot,unapoteza kabisa ubinadamu wako.Ila tofauti na Zombies wale ambao wamepakwa dawa za Wachawi na hawaonekani kwa macho ya kawaida,Zombies wa C-19 shot,watakuwa wanaonekana.
 
Roho inawekwa ndani ya chupa au sio?
Jini anakuja kinyume nyume?
Aya bana.....ila nini hizi habari achaneni nazo hazinaga faida yoyote zaidi ya kukupa goosebumps tu
 
Kuna nchi fulani hivi ni ya misukule. Wananchi wake wengi hushangilie kila anachokisema SIZONJE wao. Hawana uwezo wa kuhoji wala kukataa wanachoambiwe.
Wamefanywa wanyonge na mchawi wao na wanajisikia fahari kuitwa wanyonge.

Natamani kuipata dawa ya kumzindua msukule.
tanganyika
 
Amesema ukiwa ndani ya Kristo .Sio ukiwa ndani ya kanisa.Unajua tofauti ya kuwa ndani ya Kristo Na kwenda kanisani kila Leo ?Kuwa ndani ya Kristo ni Kuishi maisha yanampendeza Mungu Yaani kuwa msafi.Na hiii haimaanishi kila anaeshinda kanisani ni msafi.Hao wanaoshinda kanisani Na bado Wanachukuliwa misukule ujue hawako ndani ya Kristo.Wanaenda kanisani lakini matendo yao ni maovu.Hakuna aliye ndani ya Kristo (anayeishi maisha matakatifu Au aliye Na wokovu) anayechukuliwa Msukule wewe,HAYUPO.Yaani achukuliwe msukule Na Mungu anakuwa wapi wakati huo kulinda mtu wake ?Likizo Au ?Hakunaga hiyo


Sent using Jamii Forums mobile app
Unatofautisha vipi kati ya mtu aliemuweka Yesu ndani yake na ambaye hajamuweka Yesu ndani yake?

Na unajuaje huyu kachukuliwa msukule kwa sababu hajamuweka Yesu ndani yake na sio kwamba hadithi za Yesu ni za uongo tu?
 
Back
Top Bottom