Fahamu kuhusu Kampuni za Mfukoni-Briefcase Corporations

Uamuzi unategemea na Malengo ya Hiyo Kampuni Mpya na Shughuli zinazaofanywa na hiyo kampuni ya Zamani.Kwa Tanzania hatuna mfumo wa LLP.Ulijadiliwa ila haukufikia Muafaka.Ili kukupa ushauri mzuri ningependa kufahamu zaidi kuhusu malengo ya kampuni ya sasa na Malengo ya kampuni Mpya.
Sawa mkuu, nimekupata
 
Mtoa Mada nakuuna mkono na Mimi Binafsi tulifungu Partnership mwaka juzi ikiwa kwenye makaratas tunamshukuru Mungu Sasa Tumeingia kwnye VRN last week na Ofisi ipo MAGOMENI
Tumeajiri vijana wa 5 permanently na 3 temp-Vibarua

Kampuni inadeal na Ufungaji CCTV camera,Electrical Fence ,GPS Tracking, n.k (insta @cimax_tech_solutions au www.climaxtechsolutions.co.tz)

Nilivyoingia kwenye VAT for the first time nikajipiga kifua nikaajiita "Managing Director " nikamalizia kwa kicheko Kikubwa Sana

Jamani kila kitu is possible nakaribisha wawekezaji Sasa tuinvest kwenye GPS tracker na tracking nna proposal Idea kubwa Sana na nzuri changamoto no CAPITAL TU
Hongereni Sana,Kila Jambo ni hatua kwa Hatua....
 
Kuna maswali nilitaka kumuuliza mtoa mada ila nimeona hapa umegusia.
Kama kampuni haina ofisi mkataba wa pango unauchukulia wapi?
Pia umesema angalau umeanza kupata kazi ndogo ndogo zinazokuwezesha kulipa kodi za TRA na kulipa wafanyakazi/vibarua,sasa kwa mtu ambaye hajapata tenda maalumu na inatakiwa aendelee kulipa kodi TRA si inakuwa hasara au hii imekaaje
Mkataba wa pango sio option pekee ya kupatia leseni kwasababu sio biashara zote hukodishiwa sehemu ya kazi, wengine hupewa na ndugu wengine ni nyumbani kwake so unaweza kupeleka mkataba kama unashare na mtu ofisi yako ukachukua mkataba wake ukapeleka, au kama umeweka ofisi sehemu ambayo haulipii ila una mahusiano na mwenye jengo then akupatie au kama ni kwako chukua hati ya hilo eneo ndio unakwenda nayo kama ushahidi wa address ya ofisi yako ilipo.
 
Hii kitu haipo nimewauliza BRELA wamesema lazima uwe na ofisi hata kama ni nyumbani kwako sio mbaya
Sio lazima hata wao wanajua. Physical address inalazimishiwa ili waweze jua pa kukupata ikitokea wanachangamoto yoyote.


So kama umepanga nyumba unayoishi ila biashara zako unaifanyia mtandaoni meaning hauna frame ambayo kila asubuhi unaenda kufungua na kufunga jioni ,then huo huo mkataba wa nyumba uliyopanga ndio mkataba wako wa kupeleka huko TRA na halimashauri wakati wa tathimini.
 
Ningeomba usaidizi nahitaji kufungua jina la biashara na nimefuata hatua zote ktk usajili kupitia mtandao ila kuna baadhi ya taarifa naona mfumo unazikataa, so mwenye uzoefu nalo ningehitaji tuwasiliane tafadhari.
Haujawa specific ni taarifa gani zinakataa.
 
Hapo ndio pana utata, sitaki wajue kama mimi ni owner kwa sababu zangu binafasi na kuhusu mgogoro wa kimaslahi material naunua ofisini ila sitaki tu wajue nina kampuni yangu
Weka hata mkeo au mchumba wako au mama yako au baba yako kama owner na wewe kama muwajiriwa mbona simple tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom