Kamawewe
JF-Expert Member
- Jan 16, 2013
- 531
- 503
Mkuu mtoa maada ametoa siri ya mafanikio ya baadhi ya watu. Kwa case yako unaweza muandikisha ndugu au rafiki then wewe ukasimamia kila kitu cha msingi wote mnufaike.Hapo ndio pana utata, sitaki wajue kama mimi ni owner kwa sababu zangu binafasi na kuhusu mgogoro wa kimaslahi material naunua ofisini ila sitaki tu wajue nina kampuni yangu