Fahamu kuhusu Kampuni za Mfukoni-Briefcase Corporations

Hii post imenisaidia katika wazo nililokua nalo,
Namalizia tafiti mbili tatu ili niweze kuanza taratibu
 
Mtoa Mada nakuuna mkono na Mimi Binafsi tulifungu Partnership mwaka juzi ikiwa kwenye makaratas tunamshukuru Mungu Sasa Tumeingia kwnye VRN last week na Ofisi ipo MAGOMENI
Tumeajiri vijana wa 5 permanently na 3 temp-Vibarua

Kampuni inadeal na Ufungaji CCTV camera,Electrical Fence ,GPS Tracking, n.k (insta @cimax_tech_solutions au www.climaxtechsolutions.co.tz)

Nilivyoingia kwenye VAT for the first time nikajipiga kifua nikaajiita "Managing Director " nikamalizia kwa kicheko Kikubwa Sana

Jamani kila kitu is possible nakaribisha wawekezaji Sasa tuinvest kwenye GPS tracker na tracking nna proposal Idea kubwa Sana na nzuri changamoto no CAPITAL TU
Capital kiasi gani inahitajika
 
ANGALIENI SIFA ZANGU KAMA NAMFAA MTU NAOMBA KAZI..
  • Kufanya kazi zote za BRELA, RITA online
  • Kuandaa na kuandika busness plan, proposal
  • Kuandaa na kuandika project profile, project proposal, company profile
  • Kuandaa na kuandika makala mbalimbali kama siasa, dini na za kijamii
  • Matumizi mazuri ya mtandao kuendesha biashara
  • Kuandaa na kuandika report ya vikao au shughuri yoyote
  • Utunzaji wa kumbukumbu za ofisi au kazi
  • Mambo ya stationaries
  • Administrations

MI NAKUJA KUFANYA KAZI SI KUFUNDISHWA KAZI MAANA NINA UZOEFU NAVYO HIVYO, NAKUJA MKOA, WILAYA YOYOTE ILI MRADI TUKUBALIANE TU 0629945110
 
Mimi nafanya hii, imenisaidia sana.

Niko na kila kitu cha kampuni,

Niko registered BRELA, TRA niko msafi, niko nakata leseni za biashara kila mwaka,

Nimeajiri mtu mmoja wa kunisaidia mishe zangu, kazi zingine natumia vibarua au nauza kazi kwa mtu anafanya me namlipa wakati nasubiri kulipwa huku.


Sina ofisi, ila napelekaga mkataba wa pango TRA kwa ajili ya withholding ya pango.

Nipo hadi na risiti ya EFD na VAT, na VAT yao nalipa kila mwezi.


Mungu akisaidia mwakani naweza kuwa na physical location.

Kazi nyingi napata kutoka kwa marafiki, na watu niliofanya nao kazi wananiunganisha kwa wengine.
So mzee unapush sales above 100 milion Tshs? Si ndio.
 
Karibuni tuendelee kuawasiliana na kushirikiana katika kuendesha na kusimamia kampuni.Niwakumbushe inapokaribia mwisho wa mwaka ni vyema sanaa ukaanza kufanya maandalizi ya kufunga hesabu za mwaka na kutoa taarifa za kodi na pia kurekebisha makosa ya hapa na pale kabla tarehe ya kalenda haijabadilika
 
Mimi nafanya hii, imenisaidia sana.

Niko na kila kitu cha kampuni,

Niko registered BRELA, TRA niko msafi, niko nakata leseni za biashara kila mwaka,

Nimeajiri mtu mmoja wa kunisaidia mishe zangu, kazi zingine natumia vibarua au nauza kazi kwa mtu anafanya me namlipa wakati nasubiri kulipwa huku.


Sina ofisi, ila napelekaga mkataba wa pango TRA kwa ajili ya withholding ya pango.

Nipo hadi na risiti ya EFD na VAT, na VAT yao nalipa kila mwezi.


Mungu akisaidia mwakani naweza kuwa na physical location.

Kazi nyingi napata kutoka kwa marafiki, na watu niliofanya nao kazi wananiunganisha kwa wengine.
Kuna maswali nilitaka kumuuliza mtoa mada ila nimeona hapa umegusia.
Kama kampuni haina ofisi mkataba wa pango unauchukulia wapi?
Pia umesema angalau umeanza kupata kazi ndogo ndogo zinazokuwezesha kulipa kodi za TRA na kulipa wafanyakazi/vibarua,sasa kwa mtu ambaye hajapata tenda maalumu na inatakiwa aendelee kulipa kodi TRA si inakuwa hasara au hii imekaaje
 
Kuna maswali nilitaka kumuuliza mtoa mada ila nimeona hapa umegusia.
Kama kampuni haina ofisi mkataba wa pango unauchukulia wapi?
Pia umesema angalau umeanza kupata kazi ndogo ndogo zinazokuwezesha kulipa kodi za TRA na kulipa wafanyakazi/vibarua,sasa kwa mtu ambaye hajapata tenda maalumu na inatakiwa aendelee kulipa kodi TRA si inakuwa hasara au hii imekaaje
Ofisi inaweza kuwa nyumbani kwako unapoishi kwa kuanzia.So unaweza kutumia mkataba wa unapokuwa au ukawaeleza TRA kwa maandishi kwamba nyumba ni yako kwa kuwasilisha utilities bill au document ya kuonesha umiliki wako.


Pili unapokuwa na kampuni unakuwa na uwezo wa kutumia kampuni kufanya shughuli za kibiashara ndogo ndogo na ukatunzi rekodi zako vizuri tu.Na ukatumia hizo shughuli ndogondogo kulipa kodi.Kama hakuna biashara kabisa unaweza pia kuwapa TRA taarifa kwa maandishi ili wafahamu hilo.
 
Mimi nafanya hii, imenisaidia sana.

Niko na kila kitu cha kampuni,

Niko registered BRELA, TRA niko msafi, niko nakata leseni za biashara kila mwaka,

Nimeajiri mtu mmoja wa kunisaidia mishe zangu, kazi zingine natumia vibarua au nauza kazi kwa mtu anafanya me namlipa wakati nasubiri kulipwa huku.


Sina ofisi, ila napelekaga mkataba wa pango TRA kwa ajili ya withholding ya pango.

Nipo hadi na risiti ya EFD na VAT, na VAT yao nalipa kila mwezi.


Mungu akisaidia mwakani naweza kuwa na physical location.

Kazi nyingi napata kutoka kwa marafiki, na watu niliofanya nao kazi wananiunganisha kwa wengine.
Tafuta frem ya elfu hamsini weka kiti na meza ,ofisi tayari
 
Karibuni kwa huduma ya usajili wa Kampuni na majina ya biashara uanze mwaka 2023 na biashara mpya
 
Ningeomba usaidizi nahitaji kufungua jina la biashara na nimefuata hatua zote ktk usajili kupitia mtandao ila kuna baadhi ya taarifa naona mfumo unazikataa, so mwenye uzoefu nalo ningehitaji tuwasiliane tafadhari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom